Kuna ubaya wowote kumuachia housegal pesa ya matumizi yeye ndiye aipangie budget?

Kuna ubaya wowote kumuachia housegal pesa ya matumizi yeye ndiye aipangie budget?

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Habari wakuu?

Kuna issue moja ya jamaa yangu ameniomba ushauri,anasema mara kwa mara anazinguana na mkewe coz ya masuala ya pesa za matumizi ya nyumbani.anasema kwa sasa mkewe ni hana mishe yuko tu home.

Jamaa kila mwisho wa mwezi anahakikisha kanunua mahitaji yote muhimu ya home, ananunua vyakula vya mwezi mzima na mazaga mengine yanayotakiwa.

Then anampa mkewe elfu 50 kila week ya tahadhari na kununua vitu vidogo vidogo vya home.ila cha ajabu kila baada ya siku nne wife wake anamuambia hana hata mia, so jamaa anaona kama analemewa vile au anahisi kama mkewe anampiga flani hivi..so jamaa amepanga kuanza kumuachia housegal hela ya matumizi madogo madogo ya home kwani anahisi housegal anajitahidi kubalance budget.

So kanifuata kuniomba ushauri,itakua busara kumuachia housegal pesa wakati mkewe yupo?
 
Mhhh.... Amka usingizini kabla hujakojoa kitandani, hiyo ni ndoto mbaya sana
 
Aendelee kumpa mkewe ila amweleze wazi juu ya umuhimu wa kubana matumizi kulingana na kipato chake kiuchumi.
 
Habari wakuu?
Kuna issue moja ya jamaa yangu ameniomba ushauri,anasema mara kwa mara anazinguana na mkewe coz ya masuala ya pesa za matumizi ya nyumbani.anasema kwa sasa mkewe ni hana mishe yuko tu home.jamaa kila mwisho wa mwezi anahakikisha kanunua mahitaji yote muhimu ya home,ananunua vyakula vya mwezi mzima na mazaga mengine yanayotakiwa.then anampa mkewe elfu 50 kila week ya tahadhari na kununua vitu vidogo vidogo vya home.ila cha ajabu kila baada ya siku nne wife wake anamuambia hana hata mia.so jamaa anaona kama analemewa vile au anahisi kama mkewe anampiga flani hivi..so jamaa amepanga kuanza kumuachia housegal hela ya matumizi madogo madogo ya home kwani anahisi housegal anajitahidi kubalance budget.
So kanifuata kuniomba ushauri,itakua busara kumuachia housegal pesa wakati mkewe yupo?
Iwe unamtia pia... alafu acha kumaingizia jamaa mwingine...
 
Sidhani kama ni maamuzi sahihi,Mke atabaki kuwa Mke na HG abaki kuwa HG unless kuna mpango hovu wa HG kuwa promoted😂😂
 
Badala ya kumpa 50 Kwa wiki ampe 30 Kwa wiki
Maendeleo hayana chama
 
Aendelee kumpa ikiisha usimpe mpaka baada ya hiyo wiki maana sio dhambi kutompa.
 
Back
Top Bottom