Kuna uchawi wa levels ngapi?

Hahahahah...mbona unatisha watu Mkuu

Kumbuka kuna watu wana kinga za asili(natural cure) isee...yaani ukirusha kombora tuu tayari iron dome yake inadefence ....then akipiga upako wa kutosha linarudi kwako[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndo maana watu wenye asili hizi za kutokulogeka + kutokutolewa kafara wana very powerful spiritual kwenye nafsi zao.

Usipomsoma mtu madhara yanarudi kwako...au ukitamka mauti tuu tayari inarudi kwako[emoji23][emoji23]
 
Level 3 ambazo ni;
1.Rajo
2.Abramelin
3.(Nimesahau)
Reference(Kitabu cha "MKUU WA WACHAWI SASA AME MPOKEA YESU")
 
level 3 ambazo ni;
1.Rajo
2.Abramelin
3.(Nimesahau)
Reference(Kitabu cha "MKUU WA WACHAWI SASA AME MPOKEA YESU")
Shukrani Mkuu....

Ngoja nianze kupitia mdogo mdg....maisha ni kupanua akili
 
What happen is!
Katika majina yako vowels zote zinatolewa ambazo ndizo kinga yako,then zilobakia zinatafsiriwa katika numbers mfano namba1232,yaani lazima upatikane tu,maana kakinga kako kwanza kanangolewa.
N.b-mtu ambaye ana vowel nyingi kwenye jina lake huwa na natural protectives kubwa sana.
 
Mkuu Kama unacho hicho kitabu naomba ukiweke
 
Level za juu za ulozi anazo joka kuu ibilisi akifuatiwa na mawakala wake wa karibu wale wanajiita freemason na wenyewe wana vyeo vyao hadi kufika ngazi 33, haya mauchawi meusi ya huku afrika sijui hata yana level gani. All in all mtu mwenye imani ya kulindwa na nguvu za Mungu Mwenyezi hawezi kuwa na hofu na level yoyote ya uchawi, kama ilivyoandika "Hakuna uchawi wala uganga juu ya Yakobo (Israeli)"
 
Nashukuru kwa kuongeza teknolojia,lakini mara nyingi ubaya uenda kwa haraka kwa aliekutendea baya
#NAFANYA UTAFITI WA HAYA KWA KINA.KAMA MPENDA ELIMU MBALIMBALI...
 
Nashukuru kwa kuongeza teknolojia,lakini mara nyingi ubaya uenda kwa haraka kwa aliekutendea baya
#NAFANYA UTAFITI WA HAYA KWA KINA.KAMA MPENDA ELIMU MBALIMBALI...
Tupo pamoja Mkuu..tupo hapa kwa elimu Boss

Ukipata pakukosoa au nyama za kuongezea kosoa/ongezea Mkuu usihofu mkuu leta hapa tupate elimu zaidi Chief

Muhimu ni kupanua mawazo + kufungua dunia ili tuyafahamu yalipo ndani yake[emoji120]
 
Tupo pamoja Mkuu..tupo hapa kwa elimu Boss

Ukipata pakukosoa au nyama za kuongezea kosoa/ongezea Mkuu usihofu mkuu leta hapa tupate elimu zaidi Chief

Muhimu ni kupanua mawazo + kufungua dunia ili tuyafahamu yalipo ndani yake[emoji120]
Ni kweli kabisa nikipata mda nitaleta hapa uchawi wa ZABURI, zina nguvu za ajabu kupita kiasi,kwani kila zaburi ina malaika wake na jina lake na isomwe mara ngapi? muda gani ili kuleta tokeo fulani.
 
Ni kweli kabisa nikipata mda nitaleta hapa uchawi wa ZABURI, zina nguvu za ajabu kupita kiasi,kwani kila zaburi ina malaika wake na jina lake na isomwe mara ngapi? muda gani ili kuleta tokeo fulani.
Ok sijaingia kiundani kuhusu ili...

Ila nipe muda Boss..hii kazi nianze kuifuatilia.

Nina imani nitapa chochote kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…