- Thread starter
- #21
Hahahahah...mbona unatisha watu Mkuu:::::::::::::::::::::::
weka hapa jina lako halisi na la mama yako uone kivumbi na jasho,
:::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Top grade is 33degtee.
inayoruhusu kupotea ghafla,kujigawanya yaani ndani kwako unakuwepo na uwanja wa taifa kutizama ball unakuwepo pia.
Kumbuka kuna watu wana kinga za asili(natural cure) isee...yaani ukirusha kombora tuu tayari iron dome yake inadefence ....then akipiga upako wa kutosha linarudi kwako[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana watu wenye asili hizi za kutokulogeka + kutokutolewa kafara wana very powerful spiritual kwenye nafsi zao.
Usipomsoma mtu madhara yanarudi kwako...au ukitamka mauti tuu tayari inarudi kwako[emoji23][emoji23]