Kuna ugonjwa wa wasiwasi (hofu)?

Kuna ugonjwa wa wasiwasi (hofu)?

Hii hali ilishawahi kunitokea Na niliwekewa mpk drip la maji ili kushusha presha....Huyo hali ilinijia ghafla tu Na nilipimwa cha ajabu hakuna ugonjwa wowote uloonekana ila ilidumu kama wiki 2 hv...yan wasiwasi mtindo mmoja na muda wote unawaza kifo tu..Mwisho madaktari waliniuliza vp una tatizo lolote la kifamilia au umepata Habari mbaya? nikawambia Hapana sin Habari yyte mbaya Na maisha ninayoishi ya kawaida tu Na sina msongo wowote.Hali Hii ilidumu kama wiki 2 HV Na kila nikijaribu kuuliza watu hakuna mwenyewe jibu la kunituliza ila kila ninapoenda msikitini kuswali nikishamaliza Ndo Kuna afadhali naipata then hali inarudi tena...ila nilijitahidi sana Na swala mwisho ikapotea mpk Leo Ni mwaka wa 4 sijaona tena.Hapa karibuni nilikuwa Na mamamkwe wangu ktk maongezi aliniuliza vp ile hali inakusumbua tena? nikamwambia Hapana Nina muda mrefu sijaiona tena,akanambia kuwa ile hali SAA zingine huwa inawakuta wanaume ambao wake zao sana mimba change,yaani mke wako akiwa Na mimba changa Yale mahangaiko mwanamke mjazito anayoyapa pindi mimba Ikiwa changa mahangaiko Yale huhamia kwako mwanaume....Na Hili la wasiwasi Ndo huwa linachukua nafasi kubwa.Sasa nikajaribu kukumbuka Ni kweli kipindi hali ile inanitikea mke wangu alikuwa Na ujauzito wa kama mwezi 1 Na cha ajabu wakati Mimi nahangaika Na ile wasiwasi yeye alikuwa kama vile hana mimba Na alikuwa kabisa hajihisi chochote so hebu jaribu kuchunguza hilo kwanza na kufanya sana sala...maana sometimes Mungu huwa anakuzindua urudi katika ibada kwa sababu sehemu kubwa ya huo wasiwasi Ni kuwaza waza kifo muda wote,Ila usiogope Ni hali ya kawaida sana Na Mimi imenitokea kama nilivyokwambia....ila kama Ni Muislam jitahidi kuswali sana hiyo hali itapotea ila usiache ibada na kumtaja sana Mungu Ni muhimu sana Na itakupa Amani ya moyo Na utulivu wa ajabu.
 
Hii hali ilishawahi kunitokea Na niliwekewa mpk drip la maji ili kushusha presha....Huyo hali ilinijia ghafla tu Na nilipimwa cha ajabu hakuna ugonjwa wowote uloonekana ila ilidumu kama wiki 2 hv...yan wasiwasi mtindo mmoja na muda wote unawaza kifo tu..Mwisho madaktari waliniuliza vp una tatizo lolote la kifamilia au umepata Habari mbaya? nikawambia Hapana sin Habari yyte mbaya Na maisha ninayoishi ya kawaida tu Na sina msongo wowote.Hali Hii ilidumu kama wiki 2 HV Na kila nikijaribu kuuliza watu hakuna mwenyewe jibu la kunituliza ila kila ninapoenda msikitini kuswali nikishamaliza Ndo Kuna afadhali naipata then hali inarudi tena...ila nilijitahidi sana Na swala mwisho ikapotea mpk Leo Ni mwaka wa 4 sijaona tena.Hapa karibuni nilikuwa Na mamamkwe wangu ktk maongezi aliniuliza vp ile hali inakusumbua tena? nikamwambia Hapana Nina muda mrefu sijaiona tena,akanambia kuwa ile hali SAA zingine huwa inawakuta wanaume ambao wake zao sana mimba change,yaani mke wako akiwa Na mimba changa Yale mahangaiko mwanamke mjazito anayoyapa pindi mimba Ikiwa changa mahangaiko Yale huhamia kwako mwanaume....Na Hili la wasiwasi Ndo huwa linachukua nafasi kubwa.Sasa nikajaribu kukumbuka Ni kweli kipindi hali ile inanitikea mke wangu alikuwa Na ujauzito wa kama mwezi 1 Na cha ajabu wakati Mimi nahangaika Na ile wasiwasi yeye alikuwa kama vile hana mimba Na alikuwa kabisa hajihisi chochote so hebu jaribu kuchunguza hilo kwanza na kufanya sana sala...maana sometimes Mungu huwa anakuzindua urudi katika ibada kwa sababu sehemu kubwa ya huo wasiwasi Ni kuwaza waza kifo muda wote,Ila usiogope Ni hali ya kawaida sana Na Mimi imenitokea kama nilivyokwambia....ila kama Ni Muislam jitahidi kuswali sana hiyo hali itapotea ila usiache ibada na kumtaja sana Mungu Ni muhimu sana Na itakupa Amani ya moyo Na utulivu wa ajabu.
Mkuu mm hii hali inedumu kwa mda toka mwezi wa saba mwaka Jana!!!
Lkn pia nilikuwa nasumbuliwa na vidonda vya tumbo ambavyo kwa sasa kuna asilimia flani naona vimepungua sana!!!
Kuna kipindi nilikuwa na mawazo sana mwaka 2015 karibia mwaka mzima na kidogo
 
Hebu isome hii kama una jua English mkuu, ila huo ugonjwa unaouzungumzia nadhani ni huu
==========================================================================Everyone feels anxious now and then. It’s a normal emotion. Many people feel nervous when faced with a problem at work, before taking a test, or making an important decision.

Anxiety disorders are different, though. They can cause such distress that it interferes with your ability to lead a normal life.

This type of disorder is a serious mental illness. For people who have one, worry and fear are constant and overwhelming, and can be disabling. But with treatment, many people can manage those feelings and get back to a fulfilling life.

What Are the Types of Anxiety Disorders?
There are several kinds, including:

Panic disorder. People with this condition have feelings of terror that strike suddenly and repeatedly with no warning. Other symptoms of a panic attack include sweating, chest pain, palpitations (unusually strong or irregular heartbeats), and a feeling of choking. It can feel like you’re having a heart attack or "going crazy."

Social anxiety disorder. Also called social phobia, this involves overwhelming worry and self-consciousness about everyday social situations. The worry often centers on a fear of being judged by others, or behaving in a way that might cause embarrassment or lead to ridicule.

Specific phobias. These are intense fears of a specific object or situation, such as heights or flying. The level of fear is usually inappropriate to the situation and may cause you to avoid common, everyday situations.

Generalized anxiety disorder. This is excessive, unrealistic worry and tension, even if there's little or nothing to provoke the anxiety.

What Are the Symptoms of Anxiety Disorders?
It depends on the type of anxiety disorder, but general symptoms include:

  • Feelings of panic, fear, and uneasiness
  • Problems sleeping
  • Cold or sweaty hands or feet
  • Shortness of breath
  • Heart palpitations
  • Not being able to be still and calm
  • Dry mouth
  • Numbness or tingling in the hands or feet
  • Nausea
  • Muscle tension
  • Dizziness
What Are the Causes of Anxiety Disorders?
The exact cause of anxiety disorders is unknown, but anxiety disorders -- like other forms of mental illness -- are not the result of personal weakness, a character flaw, or poor upbringing. As scientists continue their research on mental illness, it is becoming clear that many of these disorders are caused by a combination of factors, including changes in the brain and environmental stress.

Continued
Like other brain illnesses, anxiety disorders may be caused by problems in the functioning of brain circuits that regulate fear and other emotions. Studies have shown that severe or long-lasting stress can change the way nerve cells within these circuits transmit information from one region of the brain to another. Other studies have shown that people with certain anxiety disorders have changes in certain brain structures that control memories linked with strong emotions. In addition, studies have shown that anxiety disorders can run in families, which means that they can at least partly be inherited from one or both parents, similar to the genetic risk for heart disease or cancer. Moreover, certain environmental factors -- such as a trauma or significant event -- may trigger an anxiety disorder in people who have an inherited susceptibility to developing the disorder.



How Are Anxiety Disorders Diagnosed?
If symptoms of an anxiety disorder are present, the doctor will begin an evaluation by asking you questions about your medical history and performing a physical exam. Although there are no lab tests to specifically diagnose anxiety disorders, the doctor may use various tests to look for other medical illness as the cause of the symptoms.

If no other medical illness is found, you may be referred to a psychiatrist, psychologist, or another mental health professional who is specially trained to diagnose and treat mental illnesses. Psychiatrists and psychologists use specially designed interview and assessment tools to evaluate a person for an anxiety disorder.

The doctor bases his or her diagnosis on the patient's report of the intensity and duration of symptoms -- including any problems with daily functioning caused by the symptoms -- and the doctor's observation of the patient's attitude and behavior. The doctor then determines if the patient's symptoms and degree of dysfunction indicate a specific anxiety disorder.



How Are Anxiety Disorders Treated?
Fortunately, much progress has been made in the last two decades in the treatment of people with mental illnesses, including anxiety disorders. Although the exact treatment approach depends on the type of disorder, one or a combination of the following therapies may be used for most anxiety disorders:

  • Medication : Drugs used to reduce the symptoms of anxiety disorders include many antidepressants, certain anticonvulsant medicines and low-dose antipsychotics, and other anxiety-reducing drugs.
  • Psychotherapy : Psychotherapy (a type of counseling) addresses the emotional response to mental illness. It is a process in which trained mental health professionals help people by talking through strategies for understanding and dealing with their disorder.
  • Cognitive-behavioral therapy: This is a particular type of psychotherapy in which the person learns to recognize and change thought patterns and behaviors that lead to troublesome feelings.
  • Dietary and lifestyle changes
  • Relaxation therapy


Continued
Can Anxiety Disorders Be Prevented?
Anxiety disorders cannot be prevented; however, there are some things you can do to control or lessen symptoms:

  • Stop or reduce consumption of products that contain caffeine, such as coffee, tea, cola, energy drinks, and chocolate.
  • Ask your doctor or pharmacist before taking any over-the-counter medicines or herbal remedies. Many contain chemicals that can increase anxiety symptoms.
  • Seek counseling and support if you start to regularly feel anxious with no apparent cause.
Daaaaaah mkuu damu yangu kwixha kwa hyo lugha
 
Wakuu habari za mchana
Napenda kuuliza: Je kuna ugonjwa wa wasi wasi au hofu?
Maana mda mwingi nakaa na kuwa na wasi wasi au hofu kama kuna kitu kina kuja kunitokea hivi!!!
Na kama ni uginjwa unasababishwa na nini na unatibikaje?
Hii hali ikitokea huwa inasumbua kisaikolojia sana na nina kosa raha sana!!
NB: sina kitu ninacho kiwaza sana
mkuu na mimi nna tatizo hilo mkuu,jibu la hapa pengine na mimi litanisaidia
 
upo...
mimi mpaka nmeuzoea
ukiniamulia natetemeka bila sababu.
nakua na hofu za ajabu ajabu na woga ,wasiwasi ndo kabisa!

inatokana na kutojiamini!
kuovercome
lazima ujue tatizo kwanza nini hasa kinapelekea...
ukishajua ;
-chukulia kawaida kitu chochote/relax
-usione kama ndo tatiizo ambalo halina tiba/jipe tumaini
-fanya unachokiogopa kwa kujiamini!(ikibidi)

mwisho kabisa ni imani/ unatakiwa ujiamini

wengine naona wanakunywaga dawa!
ila tu chukulia kawaida mimi nnao tangu mwezi wa 10 mwaka jana....
jamaa alizingua nini?
 
Mkuu mm hii hali inedumu kwa mda toka mwezi wa saba mwaka Jana!!!
Lkn pia nilikuwa nasumbuliwa na vidonda vya tumbo ambavyo kwa sasa kuna asilimia flani naona vimepungua sana!!!
Kuna kipindi nilikuwa na mawazo sana mwaka 2015 karibia mwaka mzima na kidogo
Kiongozi kwanza pole kwa tatizo uliyokuwa nalo,hili tatizo wanalo watu wengi na mwanzoni lilipokupata ulidhani ni ugonjwa ambao unao pekee yako ila unapata faraja kubwa kujitokeza kwa wana jf wengine kukwambia nao wana tatizo kama la kwako.
Huu ugonjwa kwa hapa kwetu wataalam wa tiba bado wanahangaika nao (mimi ni muhanga pia) hawana tiba ya kueleweka. Hivyo zidi kupata ushauri kwa waliopata maradhi haya na utapata nafuu. Mimi uliniweka chini mwaka mzima namshukuru Mwenyezi Mungu naendelea vizuri Alhamdulillahi. Nilihangaika sana kwenye tiba kilichonisaidia zaidi nilipokua naongea na baadhi ya jamaa zangu wakaniambia nawao pia wanatatizo hilo wengi walipata nafuu kwa kumuomba Mungu na nashukuru nimedumu katika ibada imenisaidia sana.
Angalizo usiende kwa waganga wa tiba zetu za jadi au asili utaliwa pesa zako.
 
  • Thanks
Reactions: GUI
Kiongozi kwanza pole kwa tatizo uliyokuwa nalo,hili tatizo wanalo watu wengi na mwanzoni lilipokupata ulidhani ni ugonjwa ambao unao pekee yako ila unapata faraja kubwa kujitokeza kwa wana jf wengine kukwambia nao wana tatizo kama la kwako.
Huu ugonjwa kwa hapa kwetu wataalam wa tiba bado wanahangaika nao (mimi ni muhanga pia) hawana tiba ya kueleweka. Hivyo zidi kupata ushauri kwa waliopata maradhi haya na utapata nafuu. Mimi uliniweka chini mwaka mzima namshukuru Mwenyezi Mungu naendelea vizuri Alhamdulillahi. Nilihangaika sana kwenye tiba kilichonisaidia zaidi nilipokua naongea na baadhi ya jamaa zangu wakaniambia nawao pia wanatatizo hilo wengi walipata nafuu kwa kumuomba Mungu na nashukuru nimedumu katika ibada imenisaidia sana.
Angalizo usiende kwa waganga wa tiba zetu za jadi au asili utaliwa pesa zako.
Asante mdau
 
mkuu na mimi nna tatizo hilo mkuu,jibu la hapa pengine na mimi litanisaidia
Ngoja tuendelee kuwasubiri ndugu zetu walio wahi kupitia na wakapona huenda watatusaidia
 
Nimeona maswali ni mengi juu ya tiba ya ugonjwa huu wa Hofu.

Kwanza mambo yakuepuka kabla sijakushauri tiba ni

Vitu vyenye sukari nyingi, hivi vitaongeza kiwango cha sukari mwilini na kupelekea sukari kwenye damu kuongezeka na kukuongezea tatizo

Kahawa, drinks energy na vileo sio vyote, (you can take red wines) hivi vinywaji huongeza uongezeko la msukumo wa damu (Blood pressure) hivyo kufanya mapigo ya moyo kuwa kasi na kuzidi kukufanya uogope.

Tiba:
Hofu ni Ugonjwa wa Kisaikolojia, yaani ni ugonjwa wa matukio au mambo yakufikiria, yasiyo halisi au halisi yasiyokuwa dhahiri au usibitisho.

Dawa za ugonjwa huu ni kuutibu kisaikolojia na sio kikemia (kutumia madawa ya hospitalini) Dawa za Hospitalini zinatibua utaratibu wa mfumo wa mwili na usipopona kwa muda amabao mawazo yako yanakutuma unaweza kuapata matatizo zaidi. Pia dawa hizi zinaweza kusababisha chemikali (homone) zakuzuia woga kuzalishwa kwa wingi kuliko uhitaji wa mwili na tatizo likasalia pale pale. SISEMI DAWA ZA HOSPITALI NI MBAYA NA WALA SIKWAMBII UENDE KWA MGANDMGA, laah hasha, ninachomaanisha ni kwamba zina ufanisi mdogo kwa ugonjwa kama huu.

UFANYE NINI KUONDOKANA NA TATIZO HILI?

Mosi, kula vyakula vya asili vyenye virutubisho vya vitamini B kama vile vyakula vya majini hasa hasa samaki (wakuchemsha ndio wazuri zaidi vitamini vinabaki katika ubora wake), spinachi, Ndizi mbivu, viazi mviringo n.k

Kula vyakula vyenye Kalsiamu(Calcium) na Sodiamu (Sodium) kwa wingi kama vike parachichi, baadhi ya mboga za majani, minofu ya mifupa, au mifupa iliyosagwa, saladi, na zabibu.

Pili, na katika UMUHIMU:
Tambua chanzo cha tatizo lako, kama ni Ugonjwa utafutie tiba, kama unahisi ni ugonjwa usiopona, amini hautaishi milele na ipo siku utakufa lakini siku yenyewe iko mbali sana licha hali uliyonayo.
Amini wapo wengi walioishi na ugonjwa kama wako kwa miaka mingi sana bila kufa wala kushindwa kufanya shughuli zao, amua leo.

Kama ni hofu ya matatizo ya kifamilia/ukoo mf. Uchawi, Usiogope mfanye mnayedhani mchawi kuwa rafiki, usimwogope (hatakuloga kirahisi), Usiende kwa waganga, watakuchanja mwili mzima na hutapona.
Mwombe sana Mungu, mwombe toba kwaajili yako, mwombe akuweke huru na vifungo vya familia/ukoo wenu,.

Jitenge na mambo yanayokuongezea hofu.

Jitahidi usiku ulale kabla ya saa nne usiku, ili kuipa akili muda wakutosha wakupumzika baada ya quarrels nyingi za mchana, mwili nao upate ahueni, pia wahi kuamka na ufanye mazoezi laini kama kuruka kamba n.k

Pendelea kulala kwa mgongo muda mchache kabla yakuzama usingizini huku ukipumua kwa kasi, yaani unavuta hewa nyingi ndani kisha unatoa hivyo kwa nguvu (HII NI DAWA YA WATU WENYE HOFU ILIYOPITILIZA PIA WAGONJWA WA PRESHA NA MOYO) Hii hufanya ubongo kupata hewa na kurelaxy, na akili yako badala yakufikiria unachokihofia, itawaza namna unavyovuta hewa ndani na kuirudisha, pia itafanya mishipa na misuli ya moyo (cardiac muscles) kutanuka na kuacha moyo nafasi yakutosha ili usipatwe na shambulizi la moyo.

Penda kusoma storibza kufurahisha, au kutazama runingani.

Kama Mke/Mume(unayemwamini na asiye chanzo cha tatizo lako) get a sex once/twice per week. Ngono salama husaidia kutuliza akili na kuketa raha moyoni(ikiwa umefanya kwa halali, hujadokoa mwanafunzi au mke wa mtu au mtu unayemhofia kuwa na VVU)

Ukihisi hofu, kunywa maji mengi ya baridi(yasiwe yabaridi sana yakukushinda kunywa mfululizo), Ikiwezekana Oga kwa maji ya baridi taratibu bila haraka huku ukijimwagia kichwani, kama una shower itakuwa nzuri zaidi (ukioga maji ya baridi itakufanya mwili na akili kurelax)

Jitahidi unapoamka au mchana unapokuwa mwenyewe, jichetue ucheke kama uliyechekeshwa na kitu.

Ukiwa nyumbani mchana pata walau dk 45 au saa moja la kulala.

Jichanganye na watu, fanya kitu unachopenda ili mradi kisiwe kibaya au chenye kukufanya baadaye ujutie, mf. Kutumia pesa kwaajili ya starehe, zikiisha utapata msongo wa mawazo.

Jifunze kusamehe na kutokuona sababu ya kutunza kinyongo au kuwa na maeazo yakulipiza kisasi, hii itakuondolea stress. Mpende ambaye hukumpenda siku za nyuma, hii itasaidia kuleta suluhu.

Mwisho kabisa Kuwa mtu wa Ibada, haijalishi ni dini gani, Jifunze kuongea na Mungu sana, usiku na mchana, ukizinduka usingizini usiku mwambie Mungu asante, omba dua njema kwako na kisha endelea kulala.

Hakuna magumu hapa duniani yaso mwisho. Jipe moyo.
 
Nimeona maswali ni mengi juu ya tiba ya ugonjwa huu wa Hofu.

Kwanza mambo yakuepuka kabla sijakushauri tiba ni

Vitu vyenye sukari nyingi, hivi vitaongeza kiwango cha sukari mwilini na kupelekea sukari kwenye damu kuongezeka na kukuongezea tatizo

Kahawa, drinks energy na vileo sio vyote, (you can take red wines) hivi vinywaji huongeza uongezeko la msukumo wa damu (Blood pressure) hivyo kufanya mapigo ya moyo kuwa kasi na kuzidi kukufanya uogope.

Tiba:
Hofu ni Ugonjwa wa Kisaikolojia, yaani ni ugonjwa wa matukio au mambo yakufikiria, yasiyo halisi au halisi yasiyokuwa dhahiri au usibitisho.

Dawa za ugonjwa huu ni kuutibu kisaikolojia na sio kikemia (kutumia madawa ya hospitalini) Dawa za Hospitalini zinatibua utaratibu wa mfumo wa mwili na usipopona kwa muda amabao mawazo yako yanakutuma unaweza kuapata matatizo zaidi. Pia dawa hizi zinaweza kusababisha chemikali (homone) zakuzuia woga kuzalishwa kwa wingi kuliko uhitaji wa mwili na tatizo likasalia pale pale. SISEMI DAWA ZA HOSPITALI NI MBAYA NA WALA SIKWAMBII UENDE KWA MGANDMGA, laah hasha, ninachomaanisha ni kwamba zina ufanisi mdogo kwa ugonjwa kama huu.

UFANYE NINI KUONDOKANA NA TATIZO HILI?

Mosi, kula vyakula vya asili vyenye virutubisho vya vitamini B kama vile vyakula vya majini hasa hasa samaki (wakuchemsha ndio wazuri zaidi vitamini vinabaki katika ubora wake), spinachi, Ndizi mbivu, viazi mviringo n.k

Kula vyakula vyenye Kalsiamu(Calcium) na Sodiamu (Sodium) kwa wingi kama vike parachichi, baadhi ya mboga za majani, minofu ya mifupa, au mifupa iliyosagwa, saladi, na zabibu.

Pili, na katika UMUHIMU:
Tambua chanzo cha tatizo lako, kama ni Ugonjwa utafutie tiba, kama unahisi ni ugonjwa usiopona, amini hautaishi milele na ipo siku utakufa lakini siku yenyewe iko mbali sana licha hali uliyonayo.
Amini wapo wengi walioishi na ugonjwa kama wako kwa miaka mingi sana bila kufa wala kushindwa kufanya shughuli zao, amua leo.

Kama ni hofu ya matatizo ya kifamilia/ukoo mf. Uchawi, Usiogope mfanye mnayedhani mchawi kuwa rafiki, usimwogope (hatakuloga kirahisi), Usiende kwa waganga, watakuchanja mwili mzima na hutapona.
Mwombe sana Mungu, mwombe toba kwaajili yako, mwombe akuweke huru na vifungo vya familia/ukoo wenu,.

Jitenge na mambo yanayokuongezea hofu.

Jitahidi usiku ulale kabla ya saa nne usiku, ili kuipa akili muda wakutosha wakupumzika baada ya quarrels nyingi za mchana, mwili nao upate ahueni, pia wahi kuamka na ufanye mazoezi laini kama kuruka kamba n.k

Pendelea kulala kwa mgongo muda mchache kabla yakuzama usingizini huku ukipumua kwa kasi, yaani unavuta hewa nyingi ndani kisha unatoa hivyo kwa nguvu (HII NI DAWA YA WATU WENYE HOFU ILIYOPITILIZA PIA WAGONJWA WA PRESHA NA MOYO) Hii hufanya ubongo kupata hewa na kurelaxy, na akili yako badala yakufikiria unachokihofia, itawaza namna unavyovuta hewa ndani na kuirudisha, pia itafanya mishipa na misuli ya moyo (cardiac muscles) kutanuka na kuacha moyo nafasi yakutosha ili usipatwe na shambulizi la moyo.

Penda kusoma storibza kufurahisha, au kutazama runingani.

Kama Mke/Mume(unayemwamini na asiye chanzo cha tatizo lako) get a sex once/twice per week. Ngono salama husaidia kutuliza akili na kuketa raha moyoni(ikiwa umefanya kwa halali, hujadokoa mwanafunzi au mke wa mtu au mtu unayemhofia kuwa na VVU)

Ukihisi hofu, kunywa maji mengi ya baridi(yasiwe yabaridi sana yakukushinda kunywa mfululizo), Ikiwezekana Oga kwa maji ya baridi taratibu bila haraka huku ukijimwagia kichwani, kama una shower itakuwa nzuri zaidi (ukioga maji ya baridi itakufanya mwili na akili kurelax)

Jitahidi unapoamka au mchana unapokuwa mwenyewe, jichetue ucheke kama uliyechekeshwa na kitu.

Ukiwa nyumbani mchana pata walau dk 45 au saa moja la kulala.

Jichanganye na watu, fanya kitu unachopenda ili mradi kisiwe kibaya au chenye kukufanya baadaye ujutie, mf. Kutumia pesa kwaajili ya starehe, zikiisha utapata msongo wa mawazo.

Jifunze kusamehe na kutokuona sababu ya kutunza kinyongo au kuwa na maeazo yakulipiza kisasi, hii itakuondolea stress. Mpende ambaye hukumpenda siku za nyuma, hii itasaidia kuleta suluhu.

Mwisho kabisa Kuwa mtu wa Ibada, haijalishi ni dini gani, Jifunze kuongea na Mungu sana, usiku na mchana, ukizinduka usingizini usiku mwambie Mungu asante, omba dua njema kwako na kisha endelea kulala.

Hakuna magumu hapa duniani yaso mwisho. Jipe moyo.
Asante dogo, japo inatesa sana maana kichwa kikivurugika kila kitu mwilini hakikai sawa
 
Wakuu habari za mchana
Napenda kuuliza: Je kuna ugonjwa wa wasi wasi au hofu?
Maana mda mwingi nakaa na kuwa na wasi wasi au hofu kama kuna kitu kina kuja kunitokea hivi!!!
Na kama ni uginjwa unasababishwa na nini na unatibikaje?
Hii hali ikitokea huwa inasumbua kisaikolojia sana na nina kosa raha sana!!
NB: sina kitu ninacho kiwaza sana

Inaitwa "Generalized Anxiety Disorder"

Ripoti hospital ya Muhimbili kuna Madaktari na wanasaikolojia watakusaidia kwa ufanisi
 
Wakuu habari za mchana
Napenda kuuliza: Je kuna ugonjwa wa wasi wasi au hofu?
Maana mda mwingi nakaa na kuwa na wasi wasi au hofu kama kuna kitu kina kuja kunitokea hivi!!!
Na kama ni uginjwa unasababishwa na nini na unatibikaje?
Hii hali ikitokea huwa inasumbua kisaikolojia sana na nina kosa raha sana!!
NB: sina kitu ninacho kiwaza sana
Ndugu fuata ushauri huu utakukusaidia
1. Fanya mazoezi ya kuongeza mapigo ya moyo mfano kukimbia au nenda gym Mara 5 kwa week ( itakuongezea furaha na kujiamini)
2. Jifunze Ku meditate au yoga na ufanye kila siku
3. Anza kupumulia tumboni na sio kifuani
. na muda wwte utakao pata woga vuta pumz kwa Tumbo na u hold kwa sec 5 na utoe kwa mdomo kwa sec 8 fanya hadi usikie woga umeisha
4. Waza mawazo chanya siku zote.

Unipe taarifa unaendeleaje
 
Ndugu fuata ushauri huu utakukusaidia
1. Fanya mazoezi ya kuongeza mapigo ya moyo mfano kukimbia au nenda gym Mara 5 kwa week ( itakuongezea furaha na kujiamini)
2. Jifunze Ku meditate au yoga na ufanye kila siku
3. Anza kupumulia tumboni na sio kifuani
. na muda wwte utakao pata woga vuta pumz kwa Tumbo na u hold kwa sec 5 na utoe kwa mdomo kwa sec 8 fanya hadi usikie woga umeisha
4. Waza mawazo chanya siku zote.

Unipe taarifa unaendeleaje
Asante mkuu
 
Inaitwa "Generalized Anxiety Disorder"

Ripoti hospital ya Muhimbili kuna Madaktari na wanasaikolojia watakusaidia kwa ufanisi
Asante mdau
 
Mkuu hilo tatizo linakuwa solved, its just a matter of reprogramming tu kwenye suala zima la ki mental activities, nishakutana na hizo case nyingi mno...
Mie pia niliwahi kuwa attacked ila it was a side effects wa mafunzo.. mie nilifanyia practicle ili kujua undani na mwishoni nikajua namna ya kulitatua..niligundua mengi mno behind hilo tatizo... kwa sasa naweza kukupa ushauri wa fasta ni kwamba I check hio attitude yako .. ifanyie overalls.. kwa kuifanyia utafiti... then turn it to positive kwa chochote kile...

Mambo mengine ni umpate mtu akufanyie sessions ambayo baadae itakupa mwangaza na namna vitu vinavyo tokea na pia utaziona fursa through hio sessions
 
Ugonjwa mbaya sana huo unapelekea moyo kwenda speed jitaidi kujishulisha na vitu vinavyo kupa furaha utapona
 
Back
Top Bottom