Kuna ugumu gani kwa CHADEMA kukusanya ushahidi wa vinavyodaiwa ni vitendo vya kikatili vya awamu ya Tano na kesi ikafunguliwa?

Kuna ugumu gani kwa CHADEMA kukusanya ushahidi wa vinavyodaiwa ni vitendo vya kikatili vya awamu ya Tano na kesi ikafunguliwa?

Hawana ushahidi ila ni kwamba Chadema hawana sera wala hoja.
Wao hukaa kuvizia matukio na kuyageuza sera ili kuombea huruma ya wananchi tu.

Kwa sasa wanatembea na rundo la lawama⁹ kwa serikali ya awamu ya tano bila kuwa na ushahidi wowote.

Lissu mzee wa visasi anatembea akieneza propaganda mufilisi za kisiasa.

Watanzania wanataka sera na hoja mpya,ikiwemo kuongelea madhira yaliyopo kwa sasa na sio kugombana na kaburi.

Mbowe,Lissu na wengineo huko Chadema ni wazee wa visasi tu.
Ndio maana hawaachani na kina Mdee.
Unaongea kama features fulani hivi!
Hizo sera za ccm zimewasaidia nn watanzania mbona mpaka leo watu wanakunywq maji ya tope huko vijijini? Hayo yameletwa na chadema au ccm acha kuongea kama kasuku.
 
Ukweli chadema wana hasira na kisasi kwa magufuli kuwashinda uchaguzi na kuwatoa kapa. Halafu ni wajinga. Licha kila ishara kutokana na utendaji mzuri au tuite muziki wa magufuli kuashiria wasingeambulia kitu wao wakamuamini yule mshauri wao shoga armsterdam eti wangemshinda vibaya magufuli. Watu na akili zao eti waliweka mtaalam elekezi mzungu wakaamini uongo wake. Kama sio kutaka kupiga hela ya chadema viongozi wa chadema watakua wajinga sana. Sasa wamebaki na hasira na kisasi cha kijinga kwa magufuli. Magufuli alikua kiongozi bora sana. Kujaribu kupambana naye japo marehemu ni kujitenga tu na umma wa watanzania.
Ni mtu mwenye tatizo la afya ya akili tu ndo anaweza kusema eti tuliwahi kufanya uchaguzi kipindi cha shetani lile la Chato
 
Ukweli chadema wana hasira na kisasi kwa magufuli kuwashinda uchaguzi na kuwatoa kapa. Halafu ni wajinga. Licha kila ishara kutokana na utendaji mzuri au tuite muziki wa magufuli kuashiria wasingeambulia kitu wao wakamuamini yule mshauri wao shoga armsterdam eti wangemshinda vibaya magufuli. Watu na akili zao eti waliweka mtaalam elekezi mzungu wakaamini uongo wake. Kama sio kutaka kupiga hela ya chadema viongozi wa chadema watakua wajinga sana. Sasa wamebaki na hasira na kisasi cha kijinga kwa magufuli. Magufuli alikua kiongozi bora sana. Kujaribu kupambana naye japo marehemu ni kujitenga tu na umma wa watanzania.
Mwaka 2020 kura zilipigwa siku mbili kabla. Labda huo ndiyo mziki wa chizi unaouzungumzia. [
 
Habari JF,

Kila kukicha CHADEMA wakiongozwa na mwenyekiti Mbowe wamekuwa wakitupia tuhumu nzito serikali ya Hayati Magufuli bila ushahidi wowote.

Je, kwanini wasikusanye ushahidi na kesi ikafunguliwa dhidi ya Jamhuri na wahanga wakapozwa kidogo kwa fidia?

Je, wao nao pia wanahusika na hayo matukio hivyo wanaficha ukweli?
FB_IMG_1684913508459.jpg
 
Sababu inayofanya Sukuma gang washindwe kukusanya ushahidi wa wa kile wanachodai ni upigaji na ufisadi wa msoga gang na kuupeleka mahakamani ndio hizo hizo zinazozuia chadema kufanya hivyo.
Ulishawahi kuona wapi nchi hii watawala wanashitakiwa na kuchukuliwa hatua?
Ww ni Mtumwa wa Msoga gang kama watu walishafunguliwa kesi baadae wakaachiwa unataka ushahidi gani najua mnashangilia sana logo cha mzalendo Magufuli nasema kila nafsi yenye uhai itaonja umauti ukiwemo ww
 
Ww ni Mtumwa wa Msoga gang kama watu walishafunguliwa kesi baadae wakaachiwa unataka ushahidi gani najua mnashangilia sana logo cha mzalendo Magufuli nasema kila nafsi yenye uhai itaonja umauti ukiwemo ww
Nani alifunguliwa kesi na akaachiwa? Umesahau kuwa JPM mwenyewe hadi alimpa ubunge mke wa mwenyekiti wa msoga gang? Yani unawatuhumu kisha unawapa vyeo? Na bado jina la prince wa msoga hakulikata? What does that mean?
 
Ukweli chadema wana hasira na kisasi kwa magufuli kuwashinda uchaguzi na kuwatoa kapa. Halafu ni wajinga. Licha kila ishara kutokana na utendaji mzuri au tuite muziki wa magufuli kuashiria wasingeambulia kitu wao wakamuamini yule mshauri wao shoga armsterdam eti wangemshinda vibaya magufuli. Watu na akili zao eti waliweka mtaalam elekezi mzungu wakaamini uongo wake. Kama sio kutaka kupiga hela ya chadema viongozi wa chadema watakua wajinga sana. Sasa wamebaki na hasira na kisasi cha kijinga kwa magufuli. Magufuli alikua kiongozi bora sana. Kujaribu kupambana naye japo marehemu ni kujitenga tu na umma wa watanzania.
Alijishinda mwenyewe na ndio maana yupo Huko aliko anasherehekea ushindi...
 
Habari JF,

Kila kukicha CHADEMA wakiongozwa na mwenyekiti Mbowe wamekuwa wakitupia tuhumu nzito serikali ya Hayati Magufuli bila ushahidi wowote.

Je, kwanini wasikusanye ushahidi na kesi ikafunguliwa dhidi ya Jamhuri na wahanga wakapozwa kidogo kwa fidia?

Je, wao nao pia wanahusika na hayo matukio hivyo wanaficha ukweli?
Polisi wanakazi gani na je unajua dpp anatumia vigezo vip kufungua kesi
 
Polisi wanakazi gani na je unajua dpp anatumia vigezo vip kufungua kesi
Basi acheni kutusumbua ,polisi walishasema waliopotea wamekwenda nje kutafuta maisha .
 
Rais mstaafu anashitakiwa ?
Kusanyeni ushahidi washtakiwe waliohusika kwenye ufisadi awamu ya Nne kama ambavyo enzi za JK walishtakiwa akina Mramba na Daniel Yona
 
Mwaka 2020 kura zilipigwa siku mbili kabla. Labda huo ndiyo mziki wa chizi unaouzungumzia. [
Nyie ndio chizi. Kwa nini hamkukata rufaa hata moja. Mko kikasuku tu kukariri uongo. Hata mwenyekiti wenu hakukata rufaa bali kutoa madai ya uzushi tu. Mlipigwa na kitu kizito mkachanganyikiwa akili. Chezea magufuli?
 
Hivi hata lile la Makonda kuvamia Clouds na clip yake jusambaa mitandaoni bado unataka ushahidi mwaingine.
Ndio maana nakuiteni kasuku. Mkuu wa mkoa iweje awe mvamizi kituo cha radio mkoani kwake. Juzi hapa kaeleza alivyokwenda pale na walinzi aliyopewa na ikulu kutokana na vitisho vya wauza danga. Clip yenyewe haionyeshi nguvu yoyote ikitumika. Yule waziri mjinga aliyekua adui yake akajidai eti kuunda kamati kumchunguza mkuu wa mkoa bila kupewa idhini na mamlaka iliyomteua. Mjinga akaishia kutumbuliwa.
 
Habari JF,

Kila kukicha CHADEMA wakiongozwa na mwenyekiti Mbowe wamekuwa wakitupia tuhumu nzito serikali ya Hayati Magufuli bila ushahidi wowote.

Je, kwanini wasikusanye ushahidi na kesi ikafunguliwa dhidi ya Jamhuri na wahanga wakapozwa kidogo kwa fidia?

Je, wao nao pia wanahusika na hayo matukio hivyo wanaficha ukweli?
Tanzania hakuna mahakama za mpinzani kwenda kufungua kesi na akapata haki. Vyombo vya uchunguzi ndio vilikuwa sehemu ya uchafu ule, unategemea kupata lolote la maana hapo?
 
Nyie ndio chizi. Kwa nini hamkukata rufaa hata moja. Mko kikasuku tu kukariri uongo. Hata mwenyekiti wenu hakukata rufaa bali kutoa madai ya uzushi tu. Mlipigwa na kitu kizito mkachanganyikiwa akili. Chezea magufuli?
Sasa mtu keshakuambia kabisa DED aliyempa gari na mshahara hataki kumsikka anamtangaza mpinzani mshindi wewe unategemea nn hapo?
Una umri gani kwanza
Elimu yako je? Nimeuliza haya makusudi maana tafiti zimeshafanywa juu ya wanaokikubali ccm
 
Ni siasa tu enzi za JK ghorofa jipya hata liwe Masasi au Mpanda utaambiwa la Ridhiwani.

Hayo maridhiano kama wangekuwa serious kweli na hayo matukio terms zingejumuisha uchunguzi huru kuhusu matukio ya risasi na kupotea kwa hao waliopotea.

Ajabu vipaumbele imekuwa kulipwa madeni,ruzuku,mikutano na kufutiwa kesi.
 
Hawana ushahidi ila ni kwamba Chadema hawana sera wala hoja.
Wao hukaa kuvizia matukio na kuyageuza sera ili kuombea huruma ya wananchi tu.

Kwa sasa wanatembea na rundo la lawama kwa serikali ya awamu ya tano bila kuwa na ushahidi wowote.

Lissu mzee wa visasi anatembea akieneza propaganda mufilisi za kisiasa.

Watanzania wanataka sera na hoja mpya,ikiwemo kuongelea madhira yaliyopo kwa sasa na sio kugombana na kaburi.

Mbowe,Lissu na wengineo huko Chadema ni wazee wa visasi tu.
Ndio maana hawaachani na kina Mdee.
Kwa maelezo haya huwa nawaelewa sana wazungu wakituita manyani. Yaani ule uhayawani tumeuona kisha unataka ukusanywe ushahidi?! Ushahidi unaupeleka kwenye vyombo hivihivi vilivyishiriki uhayawani ule, kisha utegemee kupata majibu ya kueleweka? Kama ripoti ya CAG iko wazi vile na hakuna hatua za maana, ndio itakuwa ushahidi wa wapinzani?
 
Back
Top Bottom