Kuna ugumu Gani wa kumfikisha mwanamke kilelen?

Kuna ugumu Gani wa kumfikisha mwanamke kilelen?

FirstClass

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2016
Posts
1,100
Reaction score
1,363
Binafsi nilichelewa kuingia kwenye ulimwengu wa kimahusiano. Moja ya sababu zilizonichelewesha ni uoga wa kutongoza. Nilikuwa mjanja sana ila Zuzu Kwa wanawake. Kutongoza ilikuwa ni adhabu kwangu, niliamua kuchagua Maisha tofauti mapenzi nikawaachia wengine!!

Muda mwingi niliutumia kujifunza kuhusu mapenzi, Moja ya kelele nilizokutananazo ni Tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni na shida ya nguvu za kiume..

Nilichogundua, sababu pekee inayoweza pelekea mwanamke asifike kileleni ni UBAKAJI, Yani kulazimisha tendo pasipo hiari yake..

Sasa huwa sielewi, kwanini wanawake wengi bado wanalalamikia kutofikishwa ama malalamiko yao ni FAKE Ili kutengeneza mazingira ya kutusimanga wanaume!!
 
Utahangaika sana kutafuta mshkaki wenye mfupa...
Ukitaka kumfikisha mwanamke unajichanganya mwenyewe..

Hapo Cha Msingi Zama Chumvini,Piga Tako 3 Kojoa Bao Lako Moja Halafu Mpe Hela Aondoke..
Ili Akahonge Vimarioo Vyake Ndo Vimfikishe.
 
IMG_4657.jpg
 
🙇‍♂️🙇‍♂️🙇‍♂️🙇‍♂️🙇‍♂️🙇‍♂️
 
Utahangaika sana kutafuta mshkaki wenye mfupa...
Ukitaka kumfikisha mwanamke unajichanganya mwenyewe..

Hapo Cha Msingi Zama Chumvini,Piga Tako 3 Kojoa Bao Lako Moja Halafu Mpe Hela Aondoke..
Ili Akahonge Vimarioo Vyake Ndo Vimfikishe.
🤣🤣🙏🙏
 
Kila mwanamke yuko tofauti. Mwingine anataka kifo cha mende ndo afike. Mwingine sijui mpaka umguse wapi....Mwingine hataki penetration kabisa bali uguse tu pale katika lango lake takatifu...

Shida sasa ya hawa wenzetu huwa hawatoi combination ya miili yao (mapema). Wanasubiri mpaka uuzoee mwili wake uje ugundue mwenyewe. Baharia umeweka mkongo wako unatwanga lisaa lizima mwenzio jicho kavuuu unaishia kumkera tu na kumuumiza....

Kumbe kadhia hizi zingeepukwa kwa kupeana combination za kwenye safe mapema watu mkarelax na kufurahia pamoja. Na kwa hili wazungu nawapa A+++ maana binti wa kizungu anakupa kombinesheni mapemaa kabisa ili kama unashindwa ushindwe mwenyewe tu.

Wetu hawa combination hakupi halafu akitoka hapo anakwenda kukusema eti hujamfikisha? Au anaishia kujifanyisha tu kuwa kafika huku moyoni anasonya hatari...

Let's be open to each other and enjoy that holly bonding in true mutual satisfaction...[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Back
Top Bottom