Kuna ugumu Gani wa kumfikisha mwanamke kilelen?

Kuna ugumu Gani wa kumfikisha mwanamke kilelen?

Utahangaika sana kutafuta mshkaki wenye mfupa...
Ukitaka kumfikisha mwanamke unajichanganya mwenyewe..

Hapo Cha Msingi Zama Chumvini,Piga Tako 3 Kojoa Bao Lako Moja Halafu Mpe Hela Aondoke..
Ili Akahonge Vimarioo Vyake Ndo Vimfikishe.
🤣🤣
 
Kusquirt na kufka kileleni vtu viwili tofauti..? Kusqirt ndo kufanyaje ama kweli mapenzi sijayajua bado nna safagi ndefu
Kusquirt ni ile hali ya mwanamke anapata msisimko na kutoa kojo lakini kufika kileleni ni ile hali ya ambayo mwanamke hupata msisimko na kupelekea uke kubana na kutoa ute ute mweupe ingawaje kuna muda ni ngumu kuuona

Ingawaje hivi vyote huweza kutokea kwa pamoja
 
Back
Top Bottom