Kuna uhaba wa mabasi ya mwendokasi halafu tunaona CCM mnashusha mabasi mapya ya chama, kuweni na aibu

Kuna uhaba wa mabasi ya mwendokasi halafu tunaona CCM mnashusha mabasi mapya ya chama, kuweni na aibu

CCm ndio Serikali yenyewe


Kitendo cha awamu hii ndani ya miaka 5 mmeshindwa kuwaletea wananchi mabasi ya mwendokasi watu wanapata mateso alafu nakuja kuona yutong za ccm kma 30 na ushee zimeshuka hapo bandarini kama kutakuwa na tume huru basi huu mkoa wa Dar hata jimbo moja hamuwezi chukua

Nilitegemea kwa kujali maslahi ya wananchi oda ya kuagiza zile basi za Yutong mngeagiza mabasi ya mwendokasi yafike kwanza kwa maslahi ya wananchi alafu baada ya wananchi shida kupungua ndio mngeweka oda yenu maana ufmchaguzi bado hadi mwezi wa kumi

Soma:CCM wanatoa wapi fedha za kununulia msululu huu wote wa Mabasi, kama sio Kodi za Wananchi ni nini?

Awamu hii mashangi v8 matoleo mapya mmenunua nchi nzima pesa ipo, ila magari ya usafiri wa uma mnasuasua, mabasi ya chama mmeshusha kifurushi cha kutisha ila mwendokasi mmetoa ahadi hadi sasa hakuna magari

Soma: Changamoto 10 usafiri mwendokasi
Hela za ruzuku za inazopewa CCM jama chama kazi yake kununua mabasi ya mwendo kasi?

Mabasi binafsi ,bodaboda,taxi, bajaji ziko kibao kwa nini usipande lofa wewe

Kama unashindwa usafiri wote huo lofa wewe umekosea Dar sio sehemu ya kuishi lofa mkubwa kama wewe rudi porini kijijini kwenu na usije kanyaga Dar tena ukome

Dar sio sehemu ya kuishi malofa wakubwa kama wewe

Unatamba kwenu maporini huko ooh mimi niko Dar wakat lofa

Una nini wewe cha kujidai unaishi Dar? Dar sio jiji la maskini waambie na malofa wenzio wanaotaka kuja Dar wawe nduguzo nk hivyo
 
Nchi ambayo mwananchi anaogopa akikosoa atatekwa, nchi ambayo wasanii wanahisi usipo nyenyekea na kusifa gavoo hutoboi , nchi ambayo mpira wa miguu umeingiliwa na siasa na kua mtaji kwa wanasiasa .. nchi ambayo kusifia ni ajira na unapata umaarufu kwa kuitwa chawa…haya mambo sio ya kushangaa kabisa the worst is coming!!
 
Back
Top Bottom