FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Tangu December 2024 hadi sasa January 2025 nimebaini uhaba mkali sana wa maafundi ujenzi (Uwashi, nk.) .., uhaba ni mkali mno! Mafundi Uwashi ni wa kugombania hasa jijini Dar. Chanzo ni nini?
At the same time kuna wimbi kubwa la vijana naliona likishinda kucheza kamari kwenye mabanda mbali mbali ya mpira na vijiwe vya kamari. Je, tatizo ni ubovu wa mfuno wa elimu kwa kutojumuisha ufundi stadi wenye high demand na mchango mkubwa katika ujenzi na ustwei wa taifa?
Mafundi ujenzi wa kueleweka karibu wote wapo Kariakoo, huku mtaani mafundi wengi wamebaki ni wanywa visungura vile vikali, ukimpa kazi ukuta unapinda pinda kama mti wa mbuyu.
Kule Ujerumani hurusiwi kusime degree ya aiana yeyote ile kama huna cheti cha ufaulu wa ufundi stadi wa aina yeyote, hata kama unataka kuchukua degree ya sheria, lazima kwanza usimee na kufaulu ufundi either wa umeme, Mekanika au chochote kile..
At the same time kuna wimbi kubwa la vijana naliona likishinda kucheza kamari kwenye mabanda mbali mbali ya mpira na vijiwe vya kamari. Je, tatizo ni ubovu wa mfuno wa elimu kwa kutojumuisha ufundi stadi wenye high demand na mchango mkubwa katika ujenzi na ustwei wa taifa?
Mafundi ujenzi wa kueleweka karibu wote wapo Kariakoo, huku mtaani mafundi wengi wamebaki ni wanywa visungura vile vikali, ukimpa kazi ukuta unapinda pinda kama mti wa mbuyu.
Kule Ujerumani hurusiwi kusime degree ya aiana yeyote ile kama huna cheti cha ufaulu wa ufundi stadi wa aina yeyote, hata kama unataka kuchukua degree ya sheria, lazima kwanza usimee na kufaulu ufundi either wa umeme, Mekanika au chochote kile..