Kuna uhaba wa pombe aina ya valuer maeneo ya Mbezi na Kimara

Kuna uhaba wa pombe aina ya valuer maeneo ya Mbezi na Kimara

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Wakuu, ni week sasa kila liquor store ninayoenda hapa maeneo ya Mbezi na Kimara kutafuta valuer naambiwa hakuna.

Meneja mauzo wa kampuni husika jitafakari sana kama unatosha kwenye hiyo nafasi.

Asante.
 
Back
Top Bottom