Kuna uhusiano gan kati ya kupendwa na kulinga

Kuna uhusiano gan kati ya kupendwa na kulinga

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana wa jukwaa


Husika na kichwa cha habal hapo juu

Iv ni kwanini ukipendwa sana lazima ulinge?

Na ni kwanini ukitokea sana kumpenda mtu anaanza kulinga tena, hata cm anakua hapokei hata ukituma msg hajibu kwa wakati

Mimi kuna msichana mmoja nilikuwa nampenda sana lakin baadae yeye ndo akanipenda zaid sasa baada ya kujua hivyo acha nianze kulinga mie,


Sijui hata kwanini huwa tunalinga sana tukipendwa


Tukutane kesho kwenye show la kibabe BEIRA BABY BOY SHOW NIGGA


LONDON BABY
 
Uhusiano uliopo ni kuwa mtu anajiona ndio kashafika kwa hiyo anajivunia kuwepo kwenye mapenzi..Muda mwingine huanza kufanya visa kwa kuwa tu anajua anapendwa
 
Izo ni two sides of the same coin
Ukipendwa ringa
 
Kutopokea simu ndo kuringa kumbe???

Mtu anayependwa akaringa anakua haja mature ,,na ukiona unempenda mtu akawa hapokei simu au hajali huyo haringi kuna mtu anafanyiwa bila Shida,,,chunguza
 
Angalieni msija kuringa mkapoteza kiburudisho maana sio kila MTU anafaa kuringiwa kwani wengine walishatendwa watokako so ukiringa tuu anasepa jumlaaaa
 
Back
Top Bottom