Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Mkuu, mi nasema maisha siyo magumu ila kuna watu wanatufanya tuyaone magumu. Imagine, ili nishibe mimi huwa naagizia sahani 2 za namna ile (rejea picha ya juu) hapo ndo najisikia walau kidogo kuwa nimekula.Yaani nilikuwa najiuliza hivyo vimboga vidogo vyeupe ni mboga gani? Kumbe ni tu-wali! Sasa vya Nini hapo?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app