Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Mkuu, mi nasema maisha siyo magumu ila kuna watu wanatufanya tuyaone magumu. Imagine, ili nishibe mimi huwa naagizia sahani 2 za namna ile (rejea picha ya juu) hapo ndo najisikia walau kidogo kuwa nimekula.Yaani nilikuwa najiuliza hivyo vimboga vidogo vyeupe ni mboga gani? Kumbe ni tu-wali! Sasa vya Nini hapo?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
... starch ni bomu moja hatari kwa afya za wananchi. Mamlaka husika zimelala; wananchi waelimishwe kuhusu chakula bora kulinda afya Nataka
... uamuzi muhimu sana Chief!Nataka nianze kupunguza mambo ya wanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida yangu mimi siyo uhusiano uliozorota kati ya kuku na mnafu. Shida yangu ni huto tu-wali kiduchu. Yaani mimi Ngosha unategemea nishibe kwa huo wali unaohesabika kirahisi? Ukimtengea wali huo mwanangu Butabontemi,anayesoma darasa la pili,atalia kabla hajaanza kula maana atajua umeamua kumlaza njaa makusudically.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida yangu mimi siyo uhusiano uliozorota kati ya kuku na mnafu. Shida yangu ni huto tu-wali kiduchu. Yaani mimi Ngosha unategemea nishibe kwa huo wali unaohesabika kirahisi? Ukimtengea wali huo mwanangu Butabontemi,anayesoma darasa la pili,atalia kabla hajaanza kula maana atajua umeamua kumlaza njaa makusudically.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16]Yaani nilikuwa najiuliza hivyo vimboga vidogo vyeupe ni mboga gani? Kumbe ni tu-wali! Sasa vya Nini hapo?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Yenyewemnafu ndiyo sungwe?
Yenyewemnafu ndiyo sungwe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida yangu mimi siyo uhusiano uliozorota kati ya kuku na mnafu. Shida yangu ni huto tu-wali kiduchu. Yaani mimi Ngosha unategemea nishibe kwa huo wali unaohesabika kirahisi? Ukimtengea wali huo mwanangu Butabontemi,anayesoma darasa la pili,atalia kabla hajaanza kula maana atajua umeamua kumlaza njaa makusudically.
Recently years kumekuwa na huu mchanganyiko wa mboga Kuku na mnafu/ mnavu kwenye maeneo ya kula. binafsi mimi siipendi hii mboga ya mnafu na imenipelekea kuuliza swali kwamba imekwaje kuku akachanganywa na mnafu??
Yani napenda kujua mnafu umefuata nini kwenye kuku?
View attachment 2158489
Recently years kumekuwa na huu mchanganyiko wa mboga Kuku na mnafu/ mnavu kwenye maeneo ya kula. binafsi mimi siipendi hii mboga ya mnafu na imenipelekea kuuliza swali kwamba imekwaje kuku akachanganywa na mnafu??
Yani napenda kujua mnafu umefuata nini kwenye kuku?
Hapa umeweka mboga tu ... Je hamna wali au ugali kulia hizi mboga ?Recently years kumekuwa na huu mchanganyiko wa mboga Kuku na mnafu/ mnavu kwenye maeneo ya kula. binafsi mimi siipendi hii mboga ya mnafu na imenipelekea kuuliza swali kwamba imekwaje kuku akachanganywa na mnafu??
Yani napenda kujua mnafu umefuata nini kwenye kuku?
View attachment 2158489
Wanyaturu wa Ikungi "Vahi" wanauita 'mjimba nkuku" wakiwa na maana ya "mjimba"--mtoto na "Nkuku" ni kukuRecently years kumekuwa na huu mchanganyiko wa mboga Kuku na mnafu/ mnavu kwenye maeneo ya kula. binafsi mimi siipendi hii mboga ya mnafu na imenipelekea kuuliza swali kwamba imekwaje kuku akachanganywa na mnafu??
Yani napenda kujua mnafu umefuata nini kwenye kuku?
View attachment 2158489
Sister acha hasira. Kwanza unge define what is mnafu, ungetoa introduction then ndo uje ushuke points zako na kufanya conclusion. Unaongelea mnafu kama vile wote tupo jikoni pamoja? Hujatutendea haki wadau....
Daah! [emoji16][emoji16]Naskia ni ndugu mmoja ni mtoto wa nje juzi Kati ndo wamepatanishwa