Bora dada ulivyomuumbua wabongo wanapenda Sana kuwaabudu wasanii wa nje.Heee burna boy anamwaga.. kaangalie tena sio siku nyingi kwenye page yake ya Burnaboyworld utaiona hio show anawamwagia maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora dada ulivyomuumbua wabongo wanapenda Sana kuwaabudu wasanii wa nje.Heee burna boy anamwaga.. kaangalie tena sio siku nyingi kwenye page yake ya Burnaboyworld utaiona hio show anawamwagia maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninavyofahamu mimi baada ya kucheza muziki watu wanashikwa na kiu ndio maana wanamwagiwa maji. Maswali mengine kama haya hakuna haja ya kuanzisha thread, nitumie PM tu nitakujibu
Kama watumishi wanavyofanyaMapendo! Bwana Yesu Asifiwe Amani Iwe Nanyi
Matumaini Yangu Weekend Inakwenda Vyema Wakuu.
Ebana Mm Na Maswali Yakizushi Nimekuwa Nikifatilia sana Show Mbali Mbali Si Tanzania tu Hata Nje Ya Tanzania
Marakadhaa Wasanii Wakipanda Majukwani Kutumbuiza Sijui ni vibes au Nini
Hufungua Chupa Za Maji Na Kuwamwagia Mashabiki !!
Je hii Inauhusiano upi Kati Ya Show Na Maji Katika Jukwaa??
Je Ni Vibes Kuwainua Watu Au Ndio Taratibu Zenyewe ??
Sent using Jamii Forums mobile app