Kuna uhusiano gani kati ya Nangwa secondary (Binafsi)Jeffery's Academy na biashara haramu..

Kuna uhusiano gani kati ya Nangwa secondary (Binafsi)Jeffery's Academy na biashara haramu..

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Kwa utafiti wangu uliokamilika hivi majuzi nimegundua kua, wamiliki wa shule hii ya Nangwa secondari na Jeffery academy ya Arusha , kuna siri kubwa nyuma ya ufadhili wa kwa watoto wa wafugaji wa kimasai ambao wamekua wakiwatoa katika familia zao za kimaskini , kuwapa elimu, kuwafundisha mambo mabali mbali ikiwemo , dini pamoja na mbinu za mapambano..yaani martial arts..baada ya wahitimu kumaliza masomo yao kwa ufadhili wa hawa mabwana wamekuwa wakipewa ajira katika makampuni ya hawa mabwana..wanao kataa kuendelea na ufadhili wao, wamekuwa wakirudishwa mitaani bila muendelezo wowote..kuna siri kubwa inaendelea, wahusika Mulikeni hizi shule mbili..hatari inakuja,...nazungumzia shule ya nangwa ya binafsi sio ya serikali..Nawasilisha..anayetaka kusikia hutaki acha...
 
Ungetumegea hata kidogo unachokijua ama kukihisi ili tujue pa kuanzia
otherwise unatupotezea wakti tuu
 
Funguka kamanda wangu watu tuna kazi nyingi zakufanya.
 
Kwa utafiti wangu uliokamilika hivi majuzi nimegundua kua, wamiliki wa shule hii ya Nangwa secondari na Jeffery academy ya Arusha , kuna siri kubwa nyuma ya ufadhili wa kwa watoto wa wafugaji wa kimasai ambao wamekua wakiwatoa katika familia zao za kimaskini , kuwapa elimu, kuwafundisha mambo mabali mbali ikiwemo , dini pamoja na mbinu za mapambano..yaani martial arts..baada ya wahitimu kumaliza masomo yao kwa ufadhili wa hawa mabwana wamekuwa wakipewa ajira katika makampuni ya hawa mabwana..wanao kataa kuendelea na ufadhili wao, wamekuwa wakirudishwa mitaani bila muendelezo wowote..kuna siri kubwa inaendelea, wahusika Mulikeni hizi shule mbili..hatari inakuja,...nazungumzia shule ya nangwa ya binafsi sio ya serikali..Nawasilisha..anayetaka kusikia hutaki acha...

kiuhalisia hujaeleweka si kwamba kila mtu yupo Arusha na anaelewa so jitahidi kufunguka zaidi ili ueleweke.
 
Kama ufahamu wako umwishia hapo basi wewe ni hamnazo.
 
huo mkuu co utafiti bali ni uchunguzi tu tena ambao haukukamilika.Maana ungekuwa umekamilika ungejua kinachoendelea tayari na co kuwataka wa2 wengine wachunuze!
 
Kwa utafiti wangu uliokamilika hivi majuzi
Nafikiri hilo neno la utafiti umekosea kulitumia, hata hivyo nakubaliana na wewe kuwa huenda kuna ka uchunguzi binafsi ulikokafanya na unataarifa muhimu za nyuma ya pazia.

nimegundua kua, wamiliki wa shule hii ya Nangwa secondari na Jeffery academy ya Arusha , kuna siri kubwa nyuma ya ufadhili wa kwa watoto wa wafugaji wa kimasai ambao wamekua wakiwatoa katika familia zao za kimaskini
Sasa si unaona hapo, wewe umeijua siri kidogo tafadhali tujuze. Pengine, wako wengine nao wanajua lakini kwa kuinyamazia hiyo siri bila kusema ndivyo wanavyowapa jeuri hawa jamaa kufanya wanayofanya kwa mgongo wa shule.

kuwapa elimu, kuwafundisha mambo mabali mbali ikiwemo , dini pamoja na mbinu za mapambano..yaani martial arts
.
Hapa kuna neno Dini+ Martial arts. Kwanini wapewe mbinu hizo shuleni? OK umesema wanapewa mbinu za mapambano ili waje wapambane na wakina nani? Mkuu funguka tujue zaidi.

.baada ya wahitimu kumaliza masomo yao kwa ufadhili wa hawa mabwana wamekuwa wakipewa ajira katika makampuni ya hawa mabwana..wanao kataa kuendelea na ufadhili wao, wamekuwa wakirudishwa mitaani bila muendelezo wowote..kuna siri kubwa inaendelea wahusika Mulikeni hizi shule mbili..hatari inakuja,...nazungumzia shule ya nangwa ya binafsi sio ya serikali..Nawasilisha..anayetaka kusikia hutaki acha...
Iweje wanalazimisha kuwafadhili watoto wa kimasaai na kwanini wanaokataa wanawapotezea mitaani na si kuwarudisha walikowatoa? Kweli kuna siri, tuambieni watu wa Arusha kuna hapo Nangwa na Jaffery's
shuleni.
 
funguka mkùu,anza kutofautisha nangwa na jeferry then shuka mistari kuanzia huo mpango wa kusomesha massai na hayo mafunzo ya marshal arts,..
 
funguka mkùu,anza kutofautisha nangwa na jeferry then shuka mistari kuanzia huo mpango wa kusomesha massai na hayo mafunzo ya marshal arts,..

Massai, kamuite basi ndugu yako aje atoe majibu
 
Back
Top Bottom