Kuna uhusiano gani kati ya sura/muonekano wa mtu na matendo yake?

Wa kwetu ukiona sura tu unahisi ukatili.
 
..... Nikinyume wazuri huwa wabaya kitabia na wabaya huwa wazuri kitabia hakuna jambazi au tapeli au shetani au jinianaye weza kuja mbele yako akiwa na sura mbaya never lazima atakuja na sura nzuri.hatabiblia inasema wamevaa ngozi za kondoo Ila ndani mbwa mwitu.kwahiyo daima adui hupitia sura nzuri. Nimalachache waovu kuwa na sura mbaya. Kwamaana nhingine wenyesura mbaya ndiyo binadam wenye azina ya utuwema kujishusha kujipendekeza I'll utambue uwaonavyo sivyo.naukiwapa nafasi wakutumikie hukutumikia vema kwani wana amini we we pekee ndiye unaye jua thamani yao hawapo tayali kukupoteza
 
Ulimpata kwa mbinde!
Sema ulihonga, tena hela chafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…