Kuna uhusiano gani kati ya ukubwa wa maumbile na viungo vya uzazi?

Kuna uhusiano gani kati ya ukubwa wa maumbile na viungo vya uzazi?

Me nadhani ktk hali ya kawaida,viungo vya mwili vinakuwa na uwiano fulani...kwa mfano,ni mara chache kuona mtu mfupi,mwenye vidole virefu na mambo kama hayo... Huo ukubwa au udogo,unapimwa kwa kutumia kizio gani...manake,we unaweza sema,ana nanii kubwa,kumbe we yako ndo ndogo...kwa hiyo,hivyo viungo vya mwili vinakuwa na uhusiano ktk ukubwa!

Kwa hiyo unataka kuniambia masista duu hawawapendi mashotiii kwa kuwa wana vibamia
 
ni kweli kuwa size ya viungo vyote vya mwili (moyo, kongosho, ini, miguu, mikono, viungo vya uzazi/ngono) vina uwiano na size ya mtu (sq m2 body area), lakini naenda nje ya mada yako , kuwa ukubwa wa viungo vya uzazi ni IRRELEVANT katika kufaidi ngono.
 
Ni kweli kuna uwiano,mfano kwa mwanaume vidole lazima muundo wake uendane na mzee mzima babu jinga.
 
Eti kuna ukweli wowote juu ya hili, kuwa watu wembamba na wenye miili midogo viungo vyao vya uzazi vinakuwa ni vikubwa zaidi ukilinganisha na watu wanene na wenye miili mikubwa?

iyo cyo kweli Coz ninajamaa yangu anahangaika sana kutafuta dawa ya kurefusha uume, MWONEKANO WAKE yeye ni mwembamba pia ni mrefu LAKIN anasema uume wake ukisimama unakuwa na urefu wa INCHI 4 tu,dts y napinga hyo dhana.
 
Kwa sisi ambao tumemega mademu wengi wa size mbalimbali hatukubaliani na hoja hii ya uhusiano wa maumbile na ukubwa au udogo wa viuongo vya uzazi. Kuna mademu slim na k zao ndogo na mnato sana, na wengine mabonge lakini mdebwedo, and vice versa. Huwezi kum-judge demu kwa umbile lake. Ngoja nianze kufanya utafiti wa hili la size ya mdomo na uhusiano wake na k. Kuna rafiki yangu mmoja anaamini sana hilo.
 
NILIWAHI KUSIKIA SIZE YA MDOMO IPO SAWA NA KULE :becky:LABDA TUSUBIRI WATAFITI WATUPE DATA😕

AZ1gCLxk+xEtAAAAAElFTkSuQmCC
 
Kwa swali hili, madaktari hawawezi kutoa jibu muafaka.
Wanaoweza kutupa jibu la ukweli ni mafirauni na vyanguduo wazoefu!
 
Back
Top Bottom