Kuna uhusiano gani kati ya uwepo wa jeshi la Rwanda Msumbiji na ziara za Mabeyo Rwanda

Kuna uhusiano gani kati ya uwepo wa jeshi la Rwanda Msumbiji na ziara za Mabeyo Rwanda

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Najaribu kuunga dots kuwa huenda baada ya Kagame kupeleka wajeda wake kule Msumbiji ndio chanzo cha ziara ya siku kadhaa ya bwana Mabeyo pale Kigali

Mods tafadhali msiufute huu uzi maana hauna maudhui yoyote mabaya
 
Kaenda kumpiga mkwara dogo kwamba huku usiguse sana wakongwe tupo miaka kenda wa kenda huko hatuongei.
Maana wakimwachia huyo jamaa ataingia mazima na kumtoa itakua kazi ingine
 
Najaribu kuunga dots kuwa huenda baada ya Kagame kupeleka wajeda wake kule Msumbiji ndio chanzo cha ziara ya siku kadhaa ya bwana Mabeyo pale Kigali

Mods tafadhali msiufute huu uzi maana hauna maudhui yoyote mabaya
Samia umemsikia Jana kwamba Askari wetu wako Msumbiji au hukusikia? Shida ya Kagame matangazo kibao na Tanzania haitaki kelele kwenye Ugaidi
 
Kubadlshana taarfa za kiintelejinsia
Ilibainika kwamba wafadhili wa magaidi ya msumbuji watatu wapo Tanzania yaani wale financiers
Usije kushangaa ubalozi wa Iran unahusika na hii saga
NA IRAN ND INAMILIKI DENU LETU LA TAIFA
 
Kubadlshana taarfa za kiintelejinsia
Ilibainika kwamba wafadhili wa magaidi ya msumbuji watatu wapo Tanzania yaani wale financiers
Usije kushangaa ubalozi wa Iran unahusika na hii saga
Ilibainika wapi???
 
Back
Top Bottom