Kuna uhusiano gani kati ya uwepo wa jeshi la Rwanda Msumbiji na ziara za Mabeyo Rwanda

Kuna uhusiano gani kati ya uwepo wa jeshi la Rwanda Msumbiji na ziara za Mabeyo Rwanda

Tajiri Rostam inasemekana ana asili ya Iran.
Screenshot_20210914-140254.jpg


Kweli
 
Slim...anahaha...

Kutafuta upenyo... ..yule ni mwafrica nje

tu....

Kichwa kichafu sana kile sio cha kucheka

nacho kabisa.... ... ...
 
pia tumeenda Rwanda kujifunza namna ya kuzivamia madrasa za Tanzania.
Katika mambo ambayo niliona IGP anatakiwa kutoka kwenye hiyo position ni Ile siku ameandaa press conference halafu anasema alipokuwa Rwanda amejifunza kuhusu kukagua taasisi za kidini.

Haihitaji uwe na elimu ya kusomea ugaidi kujua hili, pia nilitarajia awe anafanya routine check up kwenye hizi taasisi sababu zipo chini ya wizara ya mambo ya Ndani kwa asilimia kubwa sana. IGP hana sababu ya kwenda Rwanda kujifunza hii.

Kuna wakati huwa namkumbuka jiwe pamoja alikuwaga na Mambo mengi ya hovyo Ila kuna mambo kama haya hakuna mtu angekubaliwa kusafiri nje hata kidogo maana angemwambia hii Kama hujui mpaka ukajifunze Rwanda basi nakufukuza kazi na angemfukiza bila huruma.
 
Rwanda wana nguvu za kupata usaidizi wa nje kwa haraka, mfano kutoka France au America, Nchi za SADC ni N.A.M, Rwanda hawamo SADC kwa hivyo ni rahisi ku deploy na usaidizi wa kutoka nje bila kubadilisha taswira za kikanda.

Vilevile, yale aliyodai Nyusi hadharani yanaweza kuleta tafrani ya kiaina, hawa, wanajuzana na kupeana taarifa! pamoja na kurekebisha siasa za ulinzi za ki Kanda ambazo zimejitokeza karibuni.
 
Back
Top Bottom