Kuna uhusiano gani wa sadaka ya damu na familia yako kiroho?

Kuna uhusiano gani wa sadaka ya damu na familia yako kiroho?

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
306
Reaction score
706
Kumesikika stori nyingi kuwa unapoenda kwa mtalaam na unapotoa kuku/mbuzi/ng'ombe etc kama sadaka pale unapotaka mafanikio ya jambo fulani kinachofatia kiroho ni wewe kukabidhi familia yako katika mikono ya giza, yani hatma ya utimamu au uzima wa mke au wanao unanaweza kuwa affected na zile beings zinazo kupa msaada huo.

Is this real? Or myth? Misunderstood?
 
Kumesikika stori nyingi kuwa unapoenda kwa mtalaam na unapotoa kuku/mbuzi/ng'ombe etc kama sadaka pale unapotaka mafanikio ya jambo fulani kinachofatia kiroho ni wewe kukabidhi familia yako katika mikono ya giza, yani hatma ya utimamu au uzima wa mke au wanao unanaweza kuwa affected na zile beings zinazo kupa msaada huo.

Is this real? Or myth? Misunderstood?
Hayo ni kweli kabisa. Kwa waganga wa kienyeji wasio wa Ki-Mungu kuna mitego mingi na watu hufanya mambo mabaya kwa kujua ama kwa kutojua wanafanya nini. Unaweza kuambiwa toa mbuzi kumbe ni mtoto wako umetoa na hata kufa kesho yake inaweza ikawa baada ya miaka kadhaa anakufa katika mazingira ya kichawi na watu wataona ni kawaida kumbe sababu ni kwamba ulimtoa sadaka bila kujua..
 
Hayo ni kweli kabisa. Kwa waganga wa kienyeji wasio wa Ki-Mungu kuna mitego mingi na watu hufanya mambo mabaya kwa kujua ama kwa kutojua wanafanya nini. Unaweza kuambiwa toa mbuzi kumbe ni mtoto wako umetoa na hata kufa kesho yake inaweza ikawa baada ya miaka kadhaa.
Duhhh
 
Back
Top Bottom