rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
[emoji28] [emoji28] [emoji134] [emoji134]kitendo alichofanya manji kinaonyesha walakini ningemuelewa pale angesema amechafuliwa hivyo atadai fidia mahakamani lakini mara yanga mara agawe magazeti bure kujisafisha hii inaonyesha kuwa kuna ukweli ndani yake
Manji mpuuzi kwenye hili swala la Yanga. Swala hili katajwa yeye binafsi hivyo haliusiani na Yanga. Yeye ndiye anaitia Yanga kwenye swala hilo ambalo ni kosa.Wanajamvi,, Jana kuna orodha ya watu takribani 65 Mubasharah iliwekwa hadharani kuonyesha jamii kuwa watu hawo wanajihusisha kwa namna moja au nyingine
,, MIHADARATI ,,
Nisicho muelewa Manji ni kuhusisha tuhuma dhidi yke na Club ya Yanga,, kwamba yeye ni mwenyekiti wa klub kubwa hivyo hapaswi eti kuitwa kuhojiwa,,
Tuhuma zinapomkabiri mtu hazizingatii umaarufu au wadhifa wa mtu,, kwa haraka haraka nilikigundua kwa Manji ni kutaka aonewe huruma na kupandisha jazba kwa mashabiki wa klabu yke ili waone kama mwenyekiti wao kaonewa ikiwezekana wahamasishe fujo ili kupinga kutajwa kwake.
Wala Manji hapaswi kujipangia muda na sk ya kwenda pale Central,, anapaswa kutii mamlaka kaambiwa aende siku ya Ijumaa sio Alhamisi.Maana tumeambiwa tuzitii hizi mamlaka,,
Yeye kama ni Mwenyekiti wa Yanga,, bado anapaswa kukumbuka pia kuwa hii Yanga ipo ktk mkoa wa Dar,, na aliyetoa agizo hilo ndiye mkuu wa lpmkoa huu.
Leo nimeshangaa Nakala nyingi za gazeti la Jambo leo zikigawiwa bure ktk ofs nyingi za Umma,, makala nyingi zinaelezea huduma na mambo mbali mbali ya Manji,,
Kwanin haya magazeti yagawiwe bure leo na siyo kesho au juzi? HAPANA MANJI AFUATE TARATIBU AACHE HIZI FUJO ZA KWENDA KULIPOTI SK AMBAYO HAKUPANGIWA.
huoni kama kesho itaonekana club inadhaminiwa na muuza ngada?Manji mpuuzi kwenye hili swala la Yanga. Swala hili katajwa yeye binafsi hivyo haliusiani na Yanga. Yeye ndiye anaitia Yanga kwenye swala hilo ambalo ni kosa.
Ikithibitika kuwa kweli anajihusisha na ngada basi itabaki hivyo kwamba kwa muda mrefu kumbe jeuri ya club ilitokana na ngada.huoni kama kesho itaonekana club inadhaminiwa na muuza ngada?
kitendo alichofanya manji kinaonyesha walakini ningemuelewa pale angesema amechafuliwa hivyo atadai fidia mahakamani lakini mara yanga mara agawe magazeti bure kujisafisha hii inaonyesha kuwa kuna ukweli ndani yake
Mtuhumiwa unachagua njia ya kukufikisha polisi kweli?Kama nimemuelewa vizuri, hakukataa kuitwa polisi, bali njia iliyotumika, ukizingatia suala linalohusishwa na huo wito. Kwamba katiba inataka kila raia/mtu apewe heshima ikiwepo ya privacy, na jinsi wito ulivyotolewa ni kuchafuana.
Kwa mfano, angepigiwa simu au kutumiwa mtu, kwamba unahitajika kituo cha polisi siku na saa fulani, kwa nafasi yake katika jamii angetekeleza tu bila kulalamika kama hivi.Mtuhumiwa unachagua njia ya kukufikisha polisi kweli?
Hebu wacha ,,maneno weka ukweli hapo,,
Sasa kama hausiki na hii biashara haramu,, Makonda kasema anahusika,, wasiwasi wake uko wapi,, haoni kama atajitangaza zaidi ikithibitika kuwa hausiki?Hapo anazungumzia Biashara aliyowekeza , ndio maana unaona anahitaja Yanga Sana . Jaribu Kujiongeza basi hata Kidogo.
Watu wanahofia CV zao / reputation Kuingia kwenye List Mbaya.
Haya mambo yanafuatiliwa sana Kimataifa , pamoja na Bussines Partners.
Kama alivyosema , Kesho Au Kesho Kutwa atashindwa Kutua Comoro na Yanga , Watasema Anaingiza Unga.
MOD uje Ufute na Hii thread . Nishamjibu.