Kuna uhusiano kati ya haya yanayomkuta Manji na Yanga?

Kuna uhusiano kati ya haya yanayomkuta Manji na Yanga?

kitendo alichofanya manji kinaonyesha walakini ningemuelewa pale angesema amechafuliwa hivyo atadai fidia mahakamani lakini mara yanga mara agawe magazeti bure kujisafisha hii inaonyesha kuwa kuna ukweli ndani yake
 
kitendo alichofanya manji kinaonyesha walakini ningemuelewa pale angesema amechafuliwa hivyo atadai fidia mahakamani lakini mara yanga mara agawe magazeti bure kujisafisha hii inaonyesha kuwa kuna ukweli ndani yake
[emoji28] [emoji28] [emoji134] [emoji134]
 
Huyu Baniani kapaniki kinoma sana.....Mbona wengine wametulia.....sio km muda hana....yeye anaona kadhalilishwa sana eti aende akapange foleni na makapuku......!sio hadhi yake
 
Binafsi sioni baya lolote manji alilolifanya mana kunakifungu cha sheria kina mlindi

Pia yeye kulihusisha hii jambo na yanga nadhan ni sawa maana ana reflect kablu ya yanga kama yeye akiwa mchafu vipi
hawo anawo waongoza je?

Therefore anakila sababu ya kutetea jina lake coz jina tu ni brand tosha
 
Wanajamvi,, Jana kuna orodha ya watu takribani 65 Mubasharah iliwekwa hadharani kuonyesha jamii kuwa watu hawo wanajihusisha kwa namna moja au nyingine
,, MIHADARATI ,,

Nisicho muelewa Manji ni kuhusisha tuhuma dhidi yke na Club ya Yanga,, kwamba yeye ni mwenyekiti wa klub kubwa hivyo hapaswi eti kuitwa kuhojiwa,,

Tuhuma zinapomkabiri mtu hazizingatii umaarufu au wadhifa wa mtu,, kwa haraka haraka nilikigundua kwa Manji ni kutaka aonewe huruma na kupandisha jazba kwa mashabiki wa klabu yke ili waone kama mwenyekiti wao kaonewa ikiwezekana wahamasishe fujo ili kupinga kutajwa kwake.

Wala Manji hapaswi kujipangia muda na sk ya kwenda pale Central,, anapaswa kutii mamlaka kaambiwa aende siku ya Ijumaa sio Alhamisi.Maana tumeambiwa tuzitii hizi mamlaka,,

Yeye kama ni Mwenyekiti wa Yanga,, bado anapaswa kukumbuka pia kuwa hii Yanga ipo ktk mkoa wa Dar,, na aliyetoa agizo hilo ndiye mkuu wa lpmkoa huu.

Leo nimeshangaa Nakala nyingi za gazeti la Jambo leo zikigawiwa bure ktk ofs nyingi za Umma,, makala nyingi zinaelezea huduma na mambo mbali mbali ya Manji,,

Kwanin haya magazeti yagawiwe bure leo na siyo kesho au juzi? HAPANA MANJI AFUATE TARATIBU AACHE HIZI FUJO ZA KWENDA KULIPOTI SK AMBAYO HAKUPANGIWA.
Manji mpuuzi kwenye hili swala la Yanga. Swala hili katajwa yeye binafsi hivyo haliusiani na Yanga. Yeye ndiye anaitia Yanga kwenye swala hilo ambalo ni kosa.
 
Manji mpuuzi kwenye hili swala la Yanga. Swala hili katajwa yeye binafsi hivyo haliusiani na Yanga. Yeye ndiye anaitia Yanga kwenye swala hilo ambalo ni kosa.
huoni kama kesho itaonekana club inadhaminiwa na muuza ngada?
 
huoni kama kesho itaonekana club inadhaminiwa na muuza ngada?
Ikithibitika kuwa kweli anajihusisha na ngada basi itabaki hivyo kwamba kwa muda mrefu kumbe jeuri ya club ilitokana na ngada.
 
dafa264ef7e3d00d22924e67f62d8668.jpg
utaelewa tu
 
kitendo alichofanya manji kinaonyesha walakini ningemuelewa pale angesema amechafuliwa hivyo atadai fidia mahakamani lakini mara yanga mara agawe magazeti bure kujisafisha hii inaonyesha kuwa kuna ukweli ndani yake

Msihamishe Magoli;
Mkuu wa Mkoa Kaitwa Mpumbavu na Manji na Leo alienda kuthibitisha hilo kesho ni Siku ya kuzungumzia Madai ya Madawa

Mie natembea na List of shame ya Chadema na Orodha ya Makonda. Ukiwemo kwny mojawapo ya hizo orodha sikupi kura yangu
 
Kama nimemuelewa vizuri, hakukataa kuitwa polisi, bali njia iliyotumika, ukizingatia suala linalohusishwa na huo wito. Kwamba katiba inataka kila raia/mtu apewe heshima ikiwepo ya privacy, na jinsi wito ulivyotolewa ni kuchafuana.
Mtuhumiwa unachagua njia ya kukufikisha polisi kweli?

Hebu wacha ,,maneno weka ukweli hapo,,
 
Hakusema kwamba kwa vile ni Rais wa Yanga hapaswi kuita kuhojiwa! Mkuu mbona unaongea tofauti wakati wote tuliona na kusikia Ile press conference?
 
Mtuhumiwa unachagua njia ya kukufikisha polisi kweli?

Hebu wacha ,,maneno weka ukweli hapo,,
Kwa mfano, angepigiwa simu au kutumiwa mtu, kwamba unahitajika kituo cha polisi siku na saa fulani, kwa nafasi yake katika jamii angetekeleza tu bila kulalamika kama hivi.
 
Kiukwel Manji abaki kama yeye aachane na Timu yetu kumbe aliku
Wa anaitaka Yanga kwa ajili ya kusafirishia sembe
Sasa hatumpi Timu yetu bora Mengi arudi mzalendo wetu
 
Hapo anazungumzia Biashara aliyowekeza , ndio maana unaona anahitaja Yanga Sana . Jaribu Kujiongeza basi hata Kidogo.

Watu wanahofia CV zao / reputation Kuingia kwenye List Mbaya.
Haya mambo yanafuatiliwa sana Kimataifa , pamoja na Bussines Partners.

Kama alivyosema , Kesho Au Kesho Kutwa atashindwa Kutua Comoro na Yanga , Watasema Anaingiza Unga.


MOD uje Ufute na Hii thread . Nishamjibu.
Sasa kama hausiki na hii biashara haramu,, Makonda kasema anahusika,, wasiwasi wake uko wapi,, haoni kama atajitangaza zaidi ikithibitika kuwa hausiki?
Mwenyekiti kapaniki sn,, leo kagawa magazeti yake bure page zote zinansifia yeye tu,,

Kwann hakugawa kabla ya huzi shutuma,,
Kaabiwa akaripot ijumaa yy analazimisha leo,, hivi bado hajajua kuwa MAKONDA ni bosi wake hapa Town,, anampangiaje kwa mfano muda wa kukutana na Boss wake,,
Kama kuna washauri wzr wa Manji wamshauri na kumweleza wazi wazi kuwa tuhuma hz zake hazihusiani kamwe na Yanga African yetu,,

Kama kweli yumo na ni muhusika basi asitegemee huruma ya wana Yanga kumkingia kifua,,

,,Wasandawe wanasema hivi,, UTAJIBEBA,, wala Yanga Haihusu.
 
Back
Top Bottom