Hello,
Mimi ni pacha, Mara nyingi tangu Niko o level ilikua napata period tarehe 30 ya mwezi flani let's say (August) inaendelea SKU tatu au zaid ila tu inaisha tarehe ya mwezi ujao(September).
sasa wengine wanasema Nina possibility ya kuzaa mapacha japo mi ni pacha.
Je, Kuna ukweli??
Mimi ni pacha, Mara nyingi tangu Niko o level ilikua napata period tarehe 30 ya mwezi flani let's say (August) inaendelea SKU tatu au zaid ila tu inaisha tarehe ya mwezi ujao(September).
sasa wengine wanasema Nina possibility ya kuzaa mapacha japo mi ni pacha.
Je, Kuna ukweli??