Kuna uhusiano kati ya Wanawake kucheza mpira na kuwa 'Tomboy'?

Kuna uhusiano kati ya Wanawake kucheza mpira na kuwa 'Tomboy'?

Mwanakulipata

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2018
Posts
714
Reaction score
1,193
Nawasalimu wakubwa habari zenu,

Nashindwaga kuelewa soka la Tanzania haswa kwa upande wa Dada zetu. Asilimia 90% wanaocheza mpira wa miguu wengi wao ni ma-tomboy.

Yaani utakuta mpaka bange anavuta; wanajiweka kiume kabisa hivi kuna uhusiano gani kati ya kuwa tomboy na kucheza mpira[emoji23] na hii kwa Bongo tu ulaya haya maujinga hayapo.
 
Kuna tomboy mmoja nilimfanya akarudia asili yake ya kua mwanamke mwenye staha na anaejiheshimu.

Ukiona mwanamke ni tomboy basi ujue wanaume wote aliokutana nao hawakumfanya lolote la maana.
 
Hakuna uhusiano wowote, ila nadhani wengi wa wanawake wanaocheza mpira ni wale wenye hormones nyngi za kiume.
 
Write your reply...ukiona mwanamke anacheza au kushabikia sana mpira wa miguu, ujue kuna tatizo mahali
 
Kuna tomboy mmoja nilimfanya akarudia asili yake ya kua mwanamke mwenye staha na anaejiheshimu.

Ukiona mwanamke ni tomboy basi ujue wanaume wote aliokutana nao hawakumfanya lolote la maana.
😂😂😂 Yani kisa ulimfanya uyo mmoja basi umegeneralize kua wote wako ivo, we jamaa bna. Huyo alikua anapretend tu hakua tomboy ila mdada anaejificha uko kwenye utomboy.
 
Ni tatizo tu la hormonal balance pale zinapokua hazijabalance ndo hupelekea mtoto wa kike kupenda michezo ya kiume na wanaupiga haswaa ..

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
 
Wengi wao wanafata mkumbo tu ..na ku act..lakini wanapigwa sana miti tena kule siko..maana si wanajifanya wanaume?!
Wakulungwa hawapotezi fursa...
 
Hormonal imbalance tyuuh ndo sababu ya hiyo kitu.
 
Back
Top Bottom