Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote tumeelewa ni wewe tu na bichwa Lako zitoNani mwingine hajaelewa kama mimi!?
Pinga kwa Uzi wakoNapinga hoja ya mtoa mada.
Hahaha nimecheka sanaWote tumeelewa ni wewe tu na bichwa Lako zito
Tuna majumba....mandinga..😊☺️ yaani hakuna member ambae ni maskini wa kutupa humu na Kama yupo ni Jambo la muda TU.Niamini Mimi huwezi kuwa member actually active kwenye JF alafu ukawa huna mafanikio kwenye maisha magumu
Kama upo kwenye maisha. Magumu ni suala la muda
Kama ni jobless ni suala la muda tu
Watumiaji wengi wa JF wanafanikiwa
Niamini mimi
ACHA sifa mtoto wa TibaijukaPia nagawa IST imekua Ina bana nafasi pale nyumbani kwangu so uje na andiko zuri kwanini nikugawie wewe na sie mtu mwingine.
Nipo serious about it msichukulie masiala au mzaha..
Eh🙌🏾Tuna majumba....mandinga..😊☺️ yaani hakuna member ambae ni maskini wa kutupa humu na Kama yupo ni Jambo la muda TU.
Naunga hoja mkuu.