KUNA UHUSIANO UPI KATI YA TAREHE YA KUZALIWA NA TAREHE YA KUFARIKI?

KUNA UHUSIANO UPI KATI YA TAREHE YA KUZALIWA NA TAREHE YA KUFARIKI?

Kwa.kweli sijawahi kukutana na hili
Ila nimejiwazia tu nikafikiri labda kwa kuwa wengi hawajua tarehe za kuzaliwa kwa hiyo wanabuni tu
Siku ukiwa maeneo ya makaburi jaribu kusoma tarehe za marehemu walizozaliwa na tarehe walizofariki, pitia kwa makaburi kadhaa utagundua hiki kitu
 
Babu yangu alizaliwa mwaka 1929 tarh na mwezi hatujui ila anasema ulikuwa msimu wa palizi na kwa kule kwetu palizi haswa ni mwezi wa pili, ila alikufa 2016/8/31. Hii haina relation kabisa, Mi nadhani ni hisia zako tu.
 
Nimekaa na kujiuliza sana juu ya hili swala ila sijapata jibu, naomba mwenye uelewa juu ya ili jambo anipe ufafanuzi kidogo. Katika baadhi ya misiba misiba mingi niliyowai kuhudhuria huwa nakutana sana na ili jambo, unakuta tarehe ya watu wengi kufariki huwa zinakaribiana na tarehe au mwezi wa mtu kuzaliwa au namba ya mwisho ya mwaka wa mtu kizaliwa zikawiana na namba ya mwisho ya mwaka ya mtu kuzaliwa. Kama ulikuwa ujagundua hiki kitu jaribu kufuatilia tarehe ya mtu kufariki na tarehe ya kuzaliwa[/QUOTE
King majuto kazaliwa mwaka 1948. Kafariki tarehe 8-8-2018. Hizi 8 kwenye mwaka wake wa kuzaliwa na tarehe mwrzi na mwaka hazimaanishi chochote. Tuishi tu Kwa kumpendeza Mungu Kwa maana hatujui siku wala saa. Bwana ametoa na bwana ametwaa. Jina LA Bwana lihidimiwe.
 
Babu yangu alizaliwa mwaka 1929 tarh na mwezi hatujui ila anasema ulikuwa msimu wa palizi na kwa kule kwetu palizi haswa ni mwezi wa pili, ila alikufa 2016/8/31. Hii haina relation kabisa, Mi nadhani ni hisia zako tu.
Ndio maana nimesema mara nyingi, sio mara zote
 
Nimekaa na kujiuliza sana juu ya hili swala ila sijapata jibu, naomba mwenye uelewa juu ya ili jambo anipe ufafanuzi kidogo. Katika baadhi ya misiba misiba mingi niliyowai kuhudhuria huwa nakutana sana na ili jambo, unakuta tarehe ya watu wengi kufariki huwa zinakaribiana na tarehe au mwezi wa mtu kuzaliwa au namba ya mwisho ya mwaka wa mtu kizaliwa zikawiana na namba ya mwisho ya mwaka ya mtu kuzaliwa. Kama ulikuwa ujagundua hiki kitu jaribu kufuatilia tarehe ya mtu kufariki na tarehe ya kuzaliwa
Inawezekana kuna kitu kama " expiry date" lakini nadhani hicho kikiwa ni kifo cha uzeeni. Sina uhakika.
 
Back
Top Bottom