Nimeshuhudia wasanii wengi haswa wa mziki na maigizo wakiacha hizi kazi na kusema wameamua kumrudia mwenyezi Mungu,wengi wakitubu zambi walizozitenda,Je kuna uhusiano wowote kati ya kuwa msanii na kutenda dhambi
Wasanii wengi wanatumia ndumba ili ku maintains levels zao sasa wakifikiria vtu walivyofanya ndo wanaamua kutubu maana ni dhambi kwa Allah subhanau wataalah