Nimeshuhudia wasanii wengi haswa wa mziki na maigizo wakiacha hizi kazi na kusema wameamua kumrudia mwenyezi Mungu,wengi wakitubu zambi walizozitenda,Je kuna uhusiano wowote kati ya kuwa msanii na kutenda dhambi
Wasanii wengi wanatumia ndumba ili ku maintains levels zao sasa wakifikiria vtu walivyofanya ndo wanaamua kutubu maana ni dhambi kwa Allah subhanau wataalah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.