Ahsante kwa kunipatia elimu ya bure kabisa.Ila nahisi umekurupuka. Kwani hiyo self adjusting system ni fault proof?! By the way, gari za kisasa zina dual braking systems, yaan disc Mbele na drum nyuma. Je, na za drum ni self adjusting?!napata wasiwasi kama hata wewe unajua unachoongea.
huyu mleta mada najua anazungumzia gari za kisasa ambazo zinatumia brake disc na pads.
kama una correct pads for a particular car there is no way they can be incorrectly adjusted.
mwisho kabisa,disc brake pads ni SELF ADJUSTING......kadiri zinavyoisha zinasogea zenyewe kwenye brake disc na kushika efficiently.
hata zikiisha kabisa zinaji-adjust ndio maana hata ukifunga brake utasikia zinakwaruza disc na efficient kupungua.
napata wasiwasi kama hata wewe unajua unachoongea.
huyu mleta mada najua anazungumzia gari za kisasa ambazo zinatumia brake disc na pads.
kama una correct pads for a particular car there is no way they can be incorrectly adjusted.
mwisho kabisa,disc brake pads ni SELF ADJUSTING......kadiri zinavyoisha zinasogea zenyewe kwenye brake disc na kushika efficiently.
hata zikiisha kabisa zinaji-adjust ndio maana hata ukifunga brake utasikia zinakwaruza disc na efficient kupungua.
Ahsante kwa kunipatia elimu ya bure kabisa.Ila nahisi umekurupuka. Kwani hiyo self adjusting system ni fault proof?!
Gari za kisasa unazongumzia zinatumia dual braking system. Yaan disc Mbele na drum nyuma. Zile za nyuma zinspokuwa incorrectly adjusted huongeza ulaji mafutahuwa sikurupuki kwenye magari.....brake system IS SUPPOSED TO BE FAULT PROOF. hapa sizungumzii FAULT ZA KUTOFANYA SERVICE NA UZEMBE WAKO NA FUNDI.......once brake system ikiwa faulty na ni fault ya utengenezaji hizo gari zitakuwa recalled....nafikiri unakumbuka kilichowakuta TOYOTA kule marekani na kwingineko duniani. karibu sana.
huwa sikurupuki kwenye magari.....brake system IS SUPPOSED TO BE FAULT PROOF. hapa sizungumzii FAULT ZA KUTOFANYA SERVICE NA UZEMBE WAKO NA FUNDI.......once brake system ikiwa faulty na ni fault ya utengenezaji hizo gari zitakuwa recalled....nafikiri unakumbuka kilichowakuta TOYOTA kule marekani na kwingineko duniani. karibu sana.
Gari za kisasa unazongumzia zinatumia dual braking system. Yaan disc Mbele na drum nyuma. Zile za nyuma zinspokuwa incorrectly adjusted huongeza ulaji mafuta
at least now umeongea point. ila gari nyingi za kisasa ninazozungumzia mimi au [maybe nilizoendesha zina disc mbele na nyuma] mara nyingi naendesha na kudeal na VW,BMW,AUDI,VOLVO,LANDROVER ambazo zote nilizoona mimi zina disc mbele na nyuma, nilioona ni gari ya kisasa ina disc mbele na nyuma ni NISSAN NAVARA.
na hizo zenye disc mbele na nyuma zina kitu kinaitwa BRAKE WEAR SENSOR[USICHANGANYE HII NA ABS SENSOR]....ambazo zinakupa warning kama brake pads zako zimefikia kiwango cha kubadilishwa,kwahio gari za kisasa ni nadra sana brake kuisha hadi kuhatarisha maisha au kubadili perfomance otherwise utakuwa ume-ignore warning nyingi sana....