Sitii neno lakini watoto waliolelewa ama wanaolelewa na mzazi mmoja mbali na ugumu unafuu ama uzuri wa maisha basi hili swala la ma uncle au baba wa kambo Lina waathiri sana kisaikolojia aseeh
Mnaisema ahame wengine ndo nyumbani au mnafikiri ni kila mtu kapanga ? Pengine ndo tegemezi na yupo wa kiume tuu....
Dogo ajue kwanza maza nae anahitaji faraja na kuchokonolewa
Mimi toka nijue ngono ni hitaji la muhimu kwa binadamu na viumbe vingine siku hz siwez mshangaa au kumzuia mtu kufanya hilo jambo,huwa nafurahia kuona mzee wangu anazichakata tena za vibinti mzabzab
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.