Kuna ujumbe gani kwenye utopia drama series?

Kuna ujumbe gani kwenye utopia drama series?

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
702
Reaction score
767
Wana msemo wao wanasema "eyes wide shut"; ni "wide" (wazi) lakini hapohapo "shut" (yamefungwa)

Yaani wanadai tuko "macho kodo lakini hatuoni"
Na ndio maana wanatuita "sheeple" au kondoo;
na pia "goyim".

Ukiweza, tafadhali tazama scene hii mojawapo kwenye drama ya Utopia,
inayoitwa "Utopia Janus Scene".

Sikiliza,
Tafakari,
Chakata
AMUA kama ni kiburudisho tu au ni ujumbe.

 
heri mtu mmoja angeelewa kinachoendelea.
kwa jinsi walivyo na kiburi, wanakuambia kile watakachofanya kwa sababu wanadai tuna macho ila hatuoni.
So, ni namna ya kutudhihaki.
 
Wana msemo wao wanasema "eyes wide shut"; ni "wide" (wazi) lakini hapohapo "shut" (yamefungwa)

Yaani wanadai tuko "macho kodo lakini hatuoni"
Na ndio maana wanatuita "sheeple" au kondoo;
na pia "goyim".

Ukiweza, tafadhali tazama scene hii mojawapo kwenye drama ya Utopia,
inayoitwa "Utopia Janus Scene".

Sikiliza,
Tafakari,
Chakata
AMUA kama ni kiburudisho tu au ni ujumbe.

View attachment 1962764
drama hii inahusu nii hasa hasa?
 
drama hii inahusu nii hasa hasa?
kipande hiki kinahusu kuwachoma watu na kuingiza kwenye miili yao kitu ambacho kitawabadili vinasaba, kitasababisha watu wazizaane kwa vizazi vinne na wale wanaobahatika kuzaliwa wanakuwa na matatizo. Hicho kinachochomwa ni substance nyeusi tii - ambayo wanaita black goo.
 
kipande hiki kinahusu kuwachoma watu na kuingiza kwenye miili yao kitu ambacho kitawabadili vinasaba, kitasababisha watu wazizaane kwa vizazi vinne na wale wanaobahatika kuzaliwa wanakuwa na matatizo. Hicho kinachochomwa ni substance nyeusi tii - ambayo wanaita black goo.
mbona unanichonganisha na selekeli na haya maelezo yako
 
Wana msemo wao wanasema "eyes wide shut"; ni "wide" (wazi) lakini hapohapo "shut" (yamefungwa)

Yaani wanadai tuko "macho kodo lakini hatuoni"
Na ndio maana wanatuita "sheeple" au kondoo;
na pia "goyim".

Ukiweza, tafadhali tazama scene hii mojawapo kwenye drama ya Utopia,
inayoitwa "Utopia Janus Scene".

Sikiliza,
Tafakari,
Chakata
AMUA kama ni kiburudisho tu au ni ujumbe.

View attachment 1962764
Kadri siku zinavyozidi kwenda wazungu wana shauku kubwa ya kuweka mambo wazi... Nipo naifuatilia "the lost symbol"
 
Back
Top Bottom