drama hii inahusu nii hasa hasa?Wana msemo wao wanasema "eyes wide shut"; ni "wide" (wazi) lakini hapohapo "shut" (yamefungwa)
Yaani wanadai tuko "macho kodo lakini hatuoni"
Na ndio maana wanatuita "sheeple" au kondoo;
na pia "goyim".
Ukiweza, tafadhali tazama scene hii mojawapo kwenye drama ya Utopia,
inayoitwa "Utopia Janus Scene".
Sikiliza,
Tafakari,
Chakata
AMUA kama ni kiburudisho tu au ni ujumbe.
View attachment 1962764
kipande hiki kinahusu kuwachoma watu na kuingiza kwenye miili yao kitu ambacho kitawabadili vinasaba, kitasababisha watu wazizaane kwa vizazi vinne na wale wanaobahatika kuzaliwa wanakuwa na matatizo. Hicho kinachochomwa ni substance nyeusi tii - ambayo wanaita black goo.drama hii inahusu nii hasa hasa?
mbona unanichonganisha na selekeli na haya maelezo yakokipande hiki kinahusu kuwachoma watu na kuingiza kwenye miili yao kitu ambacho kitawabadili vinasaba, kitasababisha watu wazizaane kwa vizazi vinne na wale wanaobahatika kuzaliwa wanakuwa na matatizo. Hicho kinachochomwa ni substance nyeusi tii - ambayo wanaita black goo.
nakuchonganisha au najibu swali lako mkuu?
Kadri siku zinavyozidi kwenda wazungu wana shauku kubwa ya kuweka mambo wazi... Nipo naifuatilia "the lost symbol"Wana msemo wao wanasema "eyes wide shut"; ni "wide" (wazi) lakini hapohapo "shut" (yamefungwa)
Yaani wanadai tuko "macho kodo lakini hatuoni"
Na ndio maana wanatuita "sheeple" au kondoo;
na pia "goyim".
Ukiweza, tafadhali tazama scene hii mojawapo kwenye drama ya Utopia,
inayoitwa "Utopia Janus Scene".
Sikiliza,
Tafakari,
Chakata
AMUA kama ni kiburudisho tu au ni ujumbe.
View attachment 1962764
Kadri siku zinavyozidi kwenda wazungu wana shauku kubwa ya kuweka mambo wazi... Nipo naifuatilia "the lost symbol"
vp kuhusu La Brea... Ni myth ama wanajaribu kueleza kitu kama unaifuatiliaNipo epd 5, sema sio nzuri ukulinganisha na kile kitabu.
naona njochanakuchonganisha au najibu swali lako mkuu?