Kuna ukimya sana wa ndugu zetu Dkt. Bashiru na Polepole, kulikoni?

Kuna ukimya sana wa ndugu zetu Dkt. Bashiru na Polepole, kulikoni?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Habari za pilika wana wa jamii forums.

Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.

Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?
 
"... kama huna ulazima wa kutoka, kaa nyumbani kuepusha maambukizi". I hope watakuwa wamechagua kukaa nyumbani; in fact watakuwa wamefanya jambo jema sana kupambana na hili janga.
 
CCM always ipo one step ahead wengine wanafuatia kwa mbali sana.
 
"... kama huna ulazima wa kutoka, kaa nyumbani kuepusha maambukizi". I hope watakuwa wamechagua kukaa nyumbani; in fact watakuwa wamefanya jambo jema sana kupambana na hili janga.
Corona sio tishio, wanaachaje kwenda ofisini muda wote huo?
 
Habari za pilika wana wa jamii forums.

Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.

Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?
Wewe hujasoma hadithi ya Sungura mjanja na Simba ukiwa darasa la pili?

Yale maarifa ndio yanayotumika sasa.
 
Habari za pilika wana wa jamii forums.

Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.

Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?
Hawamuelewi bwana mkubwa
 
Kwani Biashara ya Kununuana Inaendelea ???... Nadhani Upande wa Pili Wameshakubali Matokeo, kwa sasa Kilichobaki ni Mchezo wa Kuchukua form za Kugombea na zoezi zima Kudisqualify wagombea wakati wa ulejeshaji...Mikakati inayoendelea kwa sasa Nadhani ni hiyo... Wapinzani Poleni sana. Kuna umuhimu wa Kutafuta kazi ya Kufanya mapema kwa maana kila dalili zinaonyesha Mtakinywea kikombe ...
 
Kuimba kupokezana, waliunguruma sana kipindi cha zuio la kufanya siasa.... washamaliza kazi yao sasa ni zamu ya hao wengine.
 
Back
Top Bottom