Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatayarisha ilani ya uchaguzi. Iko hatua za mwisho. Yataka umakini sanaHabari za pilika wana wa jamii forums.
Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.
Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?
Naona mmewamisi sana! Waliwaelezeni kuwa wamesitisha vikao na mikutano yote kwa muda sasa utawasikia wapi? Subiri watarudi.Habari za pilika wana wa jamii forums.
Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.
Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?
Duhwamejificha maisha matam
Habari za pilika wana wa jamii forums.
Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.
Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?
Bashiru Dereva wake ana corona. Hivyo kajiweka karantini.Habari za pilika wana wa jamii forums.
Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.
Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?
Pole yake sana, Mola awaponye wote na Dereva.Bashiru Dereva wake ana corona. Hivyo kajiweka karantini.
Awaponye au asepe nao mazimaPole yake sana, Mola awaponye wote na Dereva.
UMEJUAJE KUWA HAWAENDI OFISINI MKUU ??Corona sio tishio, wanaachaje kwenda ofisini muda wote huo?