Kuna ukimya sana wa ndugu zetu Dkt. Bashiru na Polepole, kulikoni?

Kuna ukimya sana wa ndugu zetu Dkt. Bashiru na Polepole, kulikoni?

Habari za pilika wana wa jamii forums.

Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.

Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?
Wanatayarisha ilani ya uchaguzi. Iko hatua za mwisho. Yataka umakini sana
 
Habari za pilika wana wa jamii forums.

Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.

Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?
Naona mmewamisi sana! Waliwaelezeni kuwa wamesitisha vikao na mikutano yote kwa muda sasa utawasikia wapi? Subiri watarudi.
 
Habari za pilika wana wa jamii forums.

Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.

Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?

Unatafuta majungu na umbeya tu!
 
Habari za pilika wana wa jamii forums.

Kumekuwa na ukimya kwa mwezi mzima sasa, kati ya hawa wanasiasa wa CCM, ndugu Dkt. Bashiru Ally na Humphrey Polepole. Hawasikiki tena na mwezi umeisha siwasikii wawili hawa ambao ni watendaji wakubwa sana chamani.

Mnyika, Zitto, Habibu na wengine wa upande ule mbona wananguruma kila siku? Je wawili hawa mbona hawaungurumi tena ikizingatiwa uchaguzi upo mbioni?
Bashiru Dereva wake ana corona. Hivyo kajiweka karantini.
 
Hivi mzee wetu Philip Mang'ula anaendeleaje?

The good, the bad and the ugly.
 
Back
Top Bottom