Unasemeje
JF-Expert Member
- Apr 29, 2021
- 249
- 923
Hii ni hekaya ambayo hai ingii akilini, eti watu walidanganywa risasi zitageuka maji na wakaingia mkenge, huu ni uongo, hivi mnajua mlio wa bunduki nyie?
Mimi nadhani majimaji ilikuwa ni mgomo ulio ambatana na vurugu, na baadaye wajerumani wakawatembezea kichapo wahusika, basi.
Hizo habari nyingine kwakweli mimi nadhani ni uongo na hakuna maana kuwafundisha watoto wetu, tunawafundisha kuwa waongo waongo tu, maana hata evolution of man ni uongo tu.
Vita halisi ilikuwa ile ya Tanzania na Uganda.
Mimi nadhani majimaji ilikuwa ni mgomo ulio ambatana na vurugu, na baadaye wajerumani wakawatembezea kichapo wahusika, basi.
Hizo habari nyingine kwakweli mimi nadhani ni uongo na hakuna maana kuwafundisha watoto wetu, tunawafundisha kuwa waongo waongo tu, maana hata evolution of man ni uongo tu.
Vita halisi ilikuwa ile ya Tanzania na Uganda.