Omuzirambogo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 685
- 751
Sijui nami nataka mnijuze!Kwahyo tuache kupanua njia?
Sijui nami nataka mnijuze!
Mtazamo wangu,Suala la mimba hadi kuzaa linaendeshwa kwa mfumo wa homoni.
Hayo mengine hayahusiani kabisa
No si kudanganya kuna raha ya kufanya mapenzi na mama mjamzito wana joto flani hivi adimukwahiyo mnaamua kutudanganya kuwa tupanue njia?
Uko sahihi lakini sina uhakika kama hilo jambo linasababishwa na wao kutoingiliana kipindi cha ujauzito.Mtazamo wangu,
Ni sahihi mkuu, NAHISI madaktari hua wanatumia busara ya kusema mume na mke waingiliane mara kwa mara ili kutanua njia ya uzazi, sema intent kuu ya kushauri hivyo si kutanua njia ya uzazi bali ni ku STABILIZE HORMONES kwa mama mjamzito.
Kuna mambo fulani hua yanatokea katika kujifungua mtoto, unakuta mtoto wa jinsia fulani anazaliwa akiwa na hormones za jinsia nyingine nyingi zaidi.
Yani mfano, mtoto unakuta anazaliwa wa kiume, ila anazaliwa akiwa na homones nyingi za kike, japo anakua mwanaume sawa sawa, ila hormones hizo unakuta zinamsababishia kuregea viungo, mwili kufuata shape ya kike, kua na sauti nyembamba, na baadhi ya tabia nyingi za kike kufuata n.k
Au mtoto wa kike kuzaliwa na hormones nyingi za kiume, anakua na sauti ya kiume, n.k
Vipi kuhusu namna ya kujua jinsi ya mtoto akiwa tumboni bila kutumia utrasound, kuna creteria zip unaweza zitumia!?Mtazamo wangu,
Ni sahihi mkuu, NAHISI madaktari hua wanatumia busara ya kusema mume na mke waingiliane mara kwa mara ili kutanua njia ya uzazi, sema intent kuu ya kushauri hivyo si kutanua njia ya uzazi bali ni ku STABILIZE HORMONES kwa mama mjamzito.
Kuna mambo fulani hua yanatokea katika kujifungua mtoto, unakuta mtoto wa jinsia fulani anazaliwa akiwa na hormones za jinsia nyingine nyingi zaidi.
Yani mfano, mtoto unakuta anazaliwa wa kiume, ila anazaliwa akiwa na homones nyingi za kike, japo anakua mwanaume sawa sawa, ila hormones hizo unakuta zinamsababishia kuregea viungo, mwili kufuata shape ya kike, kua na sauti nyembamba, na baadhi ya tabia nyingi za kike kufuata n.k
Au mtoto wa kike kuzaliwa na hormones nyingi za kiume, anakua na sauti ya kiume, n.k
Jinsi ya kujua JINSIA (GENDER) ya mtoto tumboni bila ULTRASOUND. - JamiiForumsVipi kuhusu namna ya kujua jinsi ya mtoto akiwa tumboni bila kutumia utrasound, kuna creteria zip unaweza zitumia!?