Omuzirambogo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 685
- 751
Kumekuwa na dhana ya wanaume kufanya mapenzi na wake/wenzi wao wajawazito kwa kisingizio cha kupanua njia ili mama asipate shida wakati wa kujifungua. Najiuliza kweli kuna ukweli?
1. Je, wenye vibamia wanapanua njia gani?
2. Je, wenye mipini wake zao hawapati shida katika kujifungua?
Naombeni jibu!
1. Je, wenye vibamia wanapanua njia gani?
2. Je, wenye mipini wake zao hawapati shida katika kujifungua?
Naombeni jibu!