Kuna ukweli gani kuhusu number of Angels?

Kuna ukweli gani kuhusu number of Angels?

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Habarini za mda huu wakuu?

Kuna kitu nmekuwa nikikisikia kinachoitwa number of angels or angels numbers mfano ukiona namba imejirudia zaidi ya mara 2 ujue kuna ujumbe unapewa je ni kweli?

Jana nimeangalia saa kwenye simu yangu nikakuta ni saa 11:11 sikutilia maanani Sana

Kilichonishangaza Leo pia nmeulizwa mda na mtu Ile naangalia mda nikakuta ni saa 11:11

Ndiyo mawazo yakaniijia kuwa huenda sio kitu Cha kawaida je Kwa wataalamu mnaofahamu katika number of angels 11:11 Huwa Ina maanisha kitu Gani?
 
Habarini za mda huu wakuu?
Kuna kitu nmekuwa nikikisikia kinachoitwa number of angels or angels numbers mfano ukiona namba imejirudia zaidi ya mara 2 ujue Kuna ujumbe unapewa je ni kweli?

Jana nimeangalia saa kwenye simu yangu nikakuta ni saa 11:11 sikutilia maanani Sana

Kilichonishangaza Leo pia nmeulizwa mda na mtu Ile naangalia mda nikakuta ni saa 11:11

Ndiyo mawazo yakaniijia kuwa huenda sio kitu Cha kawaida je Kwa wataalamu mnaofahamu katika number of angels 11:11 Huwa Ina maanisha kitu Gani?
Wewe uliambiwa nini kwanza?
 
Number Mara nyingi hutumika katika manifestation.

Ila hazina maana yoyote iwe mbele au nyuma.
 
Malaika wanakueleza juu ya uwepo wao karibu na wewe katika hali ya kukulinda.

Pia inaweza kuwa ni tangazo la mabadiliko juu ya mfumo wa maisha yako ambayo yanakujia hivi karibuni.


Hongera kwa kutilia maanani hili maana wengi tunapisha na encounters za kiroho kwa kutokuwa serious nazo.
 
Malaika wanakueleza juu ya uwepo wao karibu na wewe katika hali ya kukulinda.

Pia inaweza kuwa ni tangazo la mabadiliko juu ya mfumo wa maisha yako ambayo yanakujia hivi karibuni.


Hongera kwa kutilia maanani hili maana wengi tunapisha na encounters za kiroho kwa kutokuwa serious nazo.
May be maana nilikuwa mlevi Sana ila sasa Nina miezi mitatu sitamani pombe
 
Habarini za mda huu wakuu?

Kuna kitu nmekuwa nikikisikia kinachoitwa number of angels or angels numbers mfano ukiona namba imejirudia zaidi ya mara 2 ujue kuna ujumbe unapewa je ni kweli?

Jana nimeangalia saa kwenye simu yangu nikakuta ni saa 11:11 sikutilia maanani Sana

Kilichonishangaza Leo pia nmeulizwa mda na mtu Ile naangalia mda nikakuta ni saa 11:11

Ndiyo mawazo yakaniijia kuwa huenda sio kitu Cha kawaida je Kwa wataalamu mnaofahamu katika number of angels 11:11 Huwa Ina maanisha kitu Gani?
Naweka kambi hapa nazipenda sana hizi mada
 
Habarini za mda huu wakuu?

Kuna kitu nmekuwa nikikisikia kinachoitwa number of angels or angels numbers mfano ukiona namba imejirudia zaidi ya mara 2 ujue kuna ujumbe unapewa je ni kweli?

Jana nimeangalia saa kwenye simu yangu nikakuta ni saa 11:11 sikutilia maanani Sana

Kilichonishangaza Leo pia nmeulizwa mda na mtu Ile naangalia mda nikakuta ni saa 11:11

Ndiyo mawazo yakaniijia kuwa huenda sio kitu Cha kawaida je Kwa wataalamu mnaofahamu katika number of angels 11:11 Huwa Ina maanisha kitu Gani?
Modern man anachanganywa na mawazo
 
May be maana nilikuwa mlevi Sana ila sasa Nina miezi mitatu sitamani pombe
Watu wanaoamini katika nambari hizi wanaamini kwamba 11:11 ni ujumbe kutoka kwa ulimwengu wa kiroho au malaika, unaoweza kumaanisha:
  1. Uongofu na Mabadiliko: Inaweza kuwa ishara ya mabadiliko makubwa au mwanzo mpya katika maisha yako.
  2. Uhamasishaji wa kiroho: Watu wengine huamini kuwa kuona 11:11 kunahusishwa na kuinuka kwa ufahamu wa kiroho au kuwa katika hali ya juu ya ufahamu.
  3. Uwiano wa Ulimwengu: Nambari hii inahusishwa na usawaziko wa kiroho, kuunganishwa na maelewano ya ulimwengu, au kujua kwamba uko mahali sahihi kwa wakati sahihi.
  4. Ujumbe wa Malaika: Inasemekana kuwa ni njia ya malaika au viumbe wa kiroho kukuambia kuwa wako karibu, wakikusaidia au kukulinda.
Ingawa haya ni baadhi ya tafsiri zinazojulikana, nambari hizi mara nyingi hutegemea imani binafsi na uzoefu wa mtu binafsi.

Hongera kwa kuacha pombe naomba kufahamu ulikuwa mlevi au mnywaji tu.?
 
Fafanua zaidi


Mfano ukiwa unakuta na namba Fulani muda mwingi .

Mfano unakutana na namba 7

Unaweza kuitumia hii namba katika kumanifest jambo fulani

Mfano ntaenda kuomba Kazi tarh 07

Ntatuma CV zangu tarh 07

Ntaongea na Boss wangu tarh 07

Ntafungua biashara yangu tarh 07


So hiyo tarh Saba unaweza kuipa nguvu na kuifanya Kama luckiest number yako . in manifesting stuffs.

Katika universe - huwa kuna namna unapata sign ,kabla jambo halijatokea so maybe be ur sign inatumwa kupitia namba wengine macho hucheza mwingine hukutana na aina fulani ya wadudu n.k
 
Watu wanaoamini katika nambari hizi wanaamini kwamba 11:11 ni ujumbe kutoka kwa ulimwengu wa kiroho au malaika, unaoweza kumaanisha:
  1. Uongofu na Mabadiliko: Inaweza kuwa ishara ya mabadiliko makubwa au mwanzo mpya katika maisha yako.
  2. Uhamasishaji wa kiroho: Watu wengine huamini kuwa kuona 11:11 kunahusishwa na kuinuka kwa ufahamu wa kiroho au kuwa katika hali ya juu ya ufahamu.
  3. Uwiano wa Ulimwengu: Nambari hii inahusishwa na usawaziko wa kiroho, kuunganishwa na maelewano ya ulimwengu, au kujua kwamba uko mahali sahihi kwa wakati sahihi.
  4. Ujumbe wa Malaika: Inasemekana kuwa ni njia ya malaika au viumbe wa kiroho kukuambia kuwa wako karibu, wakikusaidia au kukulinda.
Ingawa haya ni baadhi ya tafsiri zinazojulikana, nambari hizi mara nyingi hutegemea imani binafsi na uzoefu wa mtu binafsi.

Hongera kwa kuacha pombe naomba kufahamu ulikuwa mlevi au mnywaji tu.?
Mlevi kabisa Hadi kazini nilipata misala kisa ulevi ila saivi nikiona pombe nasikia kichefu chefu kabisa
 
Nikuulize mkuu.
Mtu aliyekuuliza muda kesho yake unamfahamu?
Ndiyo nafahamiana nae ni rafiki yangu tuliepozana mda mrefu kaja kuzi kunitembelea
 
Back
Top Bottom