FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Wakubwa katika nyimbo ninayoipenda sana binafisi ni ya alikiba Mac Muga
Mashairi mazuri , vina vimepangiliwa ujumbe mzuri
Katika kufukunyua na kufuatilia nimepata nusu taarifa kuwa alieimbiwa huo wimbo ni RAPPER JOSE MTAMBO
Ambae sasa hivi amekuwa teja sana kutokana na msongo wa mawazo tunalewa nae sana SMART GIN Kigamboni ( MACHAVW) na gongo tunakunywa nae
Mashairi mazuri , vina vimepangiliwa ujumbe mzuri
Katika kufukunyua na kufuatilia nimepata nusu taarifa kuwa alieimbiwa huo wimbo ni RAPPER JOSE MTAMBO
Ambae sasa hivi amekuwa teja sana kutokana na msongo wa mawazo tunalewa nae sana SMART GIN Kigamboni ( MACHAVW) na gongo tunakunywa nae