Dah we snich jamaa kunywa na wew pombe unaona simple.........respect him Jose ni master....Wakubwa katika nyimbo ninayoipenda sana binafisi ni ya alikiba Mac muga
Mashairi mazuri , vina vimepangiliwa ujumbe mzuri
Katika kufukunyua na kufuatilia nmepata nusu taarifa kuwa alieimbiwa iyo nyimbo ni RAPPER JOSE MTAMBO
Ambae saizi amekuwa teja sana kutokana na msongo wa mawazo tunalewa nae sana SMART GIN kigamboni ( MACHAVW)
na gongo tunakunywa nae
Umasta wa kulewa ovyo kigambonDah we snich jamaa kunywa na wew pombe unaona simple.........respect him Jose ni master....
Kwangu ni master na bado ataendelea kua master over.....Umasta wa kulewa ovyo kigambon
Jose ni mtambo kweli nishamkuta kalala machava uwanjani alafu kuna maji. Kiufupi hata familia yake inamchezea mwamba maana mtaa anaokaa kuna waganga sio mchezoWakubwa katika nyimbo ninayoipenda sana binafisi ni ya alikiba Mac muga
Mashairi mazuri , vina vimepangiliwa ujumbe mzuri
Katika kufukunyua na kufuatilia nmepata nusu taarifa kuwa alieimbiwa iyo nyimbo ni RAPPER JOSE MTAMBO
Ambae saizi amekuwa teja sana kutokana na msongo wa mawazo tunalewa nae sana SMART GIN kigamboni ( MACHAVW)
na gongo tunakunywa nae
KwakoUkilaza upo wapi apo
Sio mchezo na akikukuta bondeni umepozi anakuomba hela unaweza sema mtu fulani asie na connection ila tunaomjua tunaona pombe ndio inampoteza mazima. Kuna kipindi roma alikua anamfuata minazi kinda pale na alikua haondoki mpka anunuliwe pombe kaliAnakunywa sana cucca na smart gin
Sawa mastaK
Kwangu ni master na bado ataendelea kua master over.....