DuhSio mchezo na akikukuta bondeni umepozi anakuomba hela unaweza sema mtu fulani asie na connection ila tunaomjua tunaona pombe ndio inampoteza mazima. Kuna kipindi roma alikua anamfuata minazi kinda pale na alikua haondoki mpka anunuliwe pombe kali
Maamuzi binafsi ya maishaUnastaafu unakuwa mlevi?
Ni mim mac mugaWakubwa katika nyimbo ninayoipenda sana binafisi ni ya alikiba Mac muga
Mashairi mazuri , vina vimepangiliwa ujumbe mzuri
Katika kufukunyua na kufuatilia nmepata nusu taarifa kuwa alieimbiwa iyo nyimbo ni RAPPER JOSE MTAMBO
Ambae saizi amekuwa teja sana kutokana na msongo wa mawazo tunalewa nae sana SMART GIN kigamboni ( MACHAVW)
na gongo tunakunywa nae
Aisee ulivyolitaja hilo jina umenikumbusha jamaa yangu Muga hajui kusoma wala kuandika.Kumjua mpaka uwe na PHD msafiii,maneno mengi ila hata kuweka vocha haliwezi.Mwanzoni nilijua hiyo ngoma inamtaja Mark Muga (Muganyizi) nikahisi kuna mtu anaitwa hivyo na ni true story. Kumbe ni Mac Muga, ila itakuwa true story kweli.
Kwenye sanaa kuna sintofahamu ukiiacha inaleta mvuto wake. Waandishi maarufu wa vitabu kuna characters walikuwa wanawaacha ni gumzo mpaka leo, kina Michelangelo na masanamu yao yanaleta mixed feelings hadi leo.
Yule si Aliishi SouthDuh..
Mac Muga alikuwa msanii wa hip-hop Kariakoo zamani Sana kabla hajaenda South AfricaMwanzoni nilijua hiyo ngoma inamtaja Mark Muga (Muganyizi) nikahisi kuna mtu anaitwa hivyo na ni true story. Kumbe ni Mac Muga, ila itakuwa true story kweli.
Kwenye sanaa kuna sintofahamu ukiiacha inaleta mvuto wake. Waandishi maarufu wa vitabu kuna characters walikuwa wanawaacha ni gumzo mpaka leo, kina Michelangelo na masanamu yao yanaleta mixed feelings hadi leo.
Mac Muga alikuwa msanii wa hip-hop Kariakoo zamani Sana kabla hajaenda South Africa
Enzi hizo kina Alikiba watoto Sana ..zaidi ya miaka 20 iliyopita au 30
Binafsi namjua Mac Muga jina lake halisi alikuwa anaitwa Mgassa Mgeni..
Alisoma shule ya msingi Gerezani na hao kina Mr Blue na wasanii wengine WA kkoo...Kina Dully Sykes ,Guru.. etc..
Haihusiani kabisa na Jose Mtambo..
Kwanza wakati huo wimbo unatoka Jose Mtambo hakuwa amechoka hivi sasa....
Sisi kpindi tupo Keko tulikuwa tunamjua sana, kabla pale mataa ya chang'ombe Veta hakuna barabara ya kwenda Karume tunaruka ukuta wa reli kutembea kwa miguu hadi kko. Alikuaa maarufu sana na majinsi na raba za kupandaMac Muga alikuwa msanii wa hip-hop Kariakoo zamani Sana kabla hajaenda South Africa
Enzi hizo kina Alikiba watoto Sana ..zaidi ya miaka 20 iliyopita au 30
Binafsi namjua Mac Muga jina lake halisi alikuwa anaitwa Mgassa Mgeni..
Alisoma shule ya msingi Gerezani na hao kina Mr Blue na wasanii wengine WA kkoo...Kina Dully Sykes ,Guru.. etc..
Haihusiani kabisa na Jose Mtambo..
Kwanza wakati huo wimbo unatoka Jose Mtambo hakuwa amechoka hivi sasa....
Dah!...hamna mwamba wa kumsanua jamaa ahame tu.Jose ni mtambo kweli nishamkuta kalala machava uwanjani alafu kuna maji. Kiufupi hata familia yake inamchezea mwamba maana mtaa anaokaa kuna waganga sio mchezo