Kuna ukweli katika kauli hizi kisaikolojia

Kuna ukweli katika kauli hizi kisaikolojia

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241110_140813_Google.jpg


Mosi,Kukaa kimya kuna nguvu zaidi kuliko pale unapotaka kudhibitisha ukweli au kujitetea. Na hii kweli kabisa wakati mwengine unaweza kupata kashfa ambayo jinsi kadri unavyotaka kujitetea unajikuta unazidi kuharibu,kwahiyo wakati mwingine kunyamaza ni jibu zuri sana,watu wanabaki njia panda

Pili, Pale uaminifu unapokosekana basi hata kuomba samahani hakuna maana yoyote ile,ni kweli kabisa ukishapoteza uaminifu mara nyingi sana kuomba msamaha hakuna uzito wowote ule,kwahiyo hakikisha unaaminika siku zote

Tatu, Siku zote vitawale vitendo vyako au mihemko yako na ujifunze kutochukua hatua haraka,mara nyingi sana tunapopata maudhi au kukerwa haraka sana hupandwa na kisukari na kufanya maamuzi ya haraka bila tafakuri matokeo yake tuna juta baadae,chukua hii mara ukipata ghadhabu vuta pumzi ndefu mara tatu itakusaidia.

Nne,Unapokuwa muaminifu utawapoteza watu ambao hawastahili,iko hivyo siku zote ebu hapo kazini kwako mnapopiga madili,jifanye wewe ni muaminifu utaona utakavyotengwa na wapigaji

Tano, Moyo mmoja mzuri na wenye ukarimu ni bora kuliko sura nzuri 1000

Sita,Kuwa na marafiki wachache,maisha yako binafsi,akili huru na kuwa na moyo mzuri

Saba, Kamwe usiende tena kwa mtu ambaye alikuacha

Nane, Acha kuwaza sana kupita kiasi kwani hauwezi kudili na kila kitu maishani

Tisa, kama kuna mpumbavu mmoja anaondoka katika maisha yako basi kuwa muelevu sana kumuacha aende zake

Kumi, marafiki wa kweli ni wachache sana kuwapata,basi ukiwa nao hakika wewe una bahati sana


Nawapenda sana


Ni hayo tu!
 
View attachment 3148542

Mosi,Kukaa kimya kuna nguvu zaidi kuliko pale unapotaka kudhibitisha ukweli au kujitetea. Na hii kweli kabisa wakati mwengine unaweza kupata kashfa ambayo jinsi kadri unavyotaka kujitetea unajikuta unazidi kuharibu,kwahiyo wakati mwingine kunyamaza ni jibu zuri sana,watu wanabaki njia panda

Pili, Pale uaminifu unapokosekana basi hata kuomba samahani hakuna maana yoyote ile,ni kweli kabisa ukishapoteza uaminifu mara nyingi sana kuomba msamaha hakuna uzito wowote ule,kwahiyo hakikisha unaaminika siku zote

Tatu, Siku zote vitawale vitendo vyako au mihemko yako na ujifunze kutochukua hatua haraka,mara nyingi sana tunapopata maudhi au kukerwa haraka sana hupandwa na kisukari na kufanya maamuzi ya haraka bila tafakuri matokeo yake tuna juta baadae,chukua hii mara ukipata ghadhabu vuta pumzi ndefu mara tatu itakusaidia.

Nne,Unapokuwa muaminifu utawapoteza watu ambao hawastahili,iko hivyo siku zote ebu hapo kazini kwako mnapopiga madili,jifanye wewe ni muaminifu utaona utakavyotengwa na wapigaji

Tano, Moyo mmoja mzuri na wenye ukarimu ni bora kuliko sura nzuri 1000

Sita,Kuwa na marafiki wachache,maisha yako binafsi,akili huru na kuwa na moyo mzuri

Saba, Kamwe usiende tena kwa mtu ambaye alikuacha

Nane, Acha kuwaza sana kupita kiasi kwani hauwezi kudili na kila kitu maishani

Tisa, kama kuna mpumbavu mmoja anaondoka katika maisha yako basi kuwa muelevu sana kumuacha aende zake

Kumi, marafiki wa kweli ni wachache sana kuwapata,basi ukiwa nao hakika wewe una bahati sana


Nawapenda sana


Ni hayo tu!
Addition..

The best way to avoid disappointment is not to expect anything from anyone
 
Kwenye overthinking.
Kwanza kwanini huwa tuna overthinking?

Kuna sababu nyingi sana ndani yake,moja huenda kuna mambo mengi sana maishani hatujakamilisha,hivyo tuna ndoto ambazo bado kutokana na wakati na rasilimali hatujafanikisha hivyo inatupa wakati mgumu na kuwaza sana

Huenda una changamoto ambazo unazo sasa hivi na hujui utazitatua vipi na mambo kama hayo

Kubwa katika Uislamu tunaambiwa hivi ambalo ulikuwa ulipate au likufike utalipata tu au litakufika tu na ambalo lilikuwa lisikupate au usilipate hautalipata

Maana yake nini hapa, kila jambo litakuja kwa wakati wake hakuna kuchelewa wala kuwahi,kwahiyo yakubali maisha uliyo nayo sasa wakati huo unapambana mambo mazuri huko mbeleni,usilinganishe maisha yako na ya mtu mwingine,wakati wako ukifika uta shine tu

Hayo tu kwa ufupi
 
Ni kweli kukaa kimya ni vizuri, mfano mond angeanza kujitetea kuhusu kashfa za p diddy lazima angeanza kuonekana boya.
Mondi hakuanza kujitetea kwa sababu kilichokuwa kinasemwa ni kweli. Angajaribu kujitetea niengeenda kwa pdidy kuusaka ukweli.
 
Back
Top Bottom