Kuna ukweli ktk hii picha?

Kuna ukweli ktk hii picha?

HAHAHAA si unajua 80% ya watz hawana habari kama kuna hizi wax figure duniani kote kwa Madam Tussauds. Mime niliona kwenye profile yake facebook jamaa wanampongeza kwa kupiga picha na mastaa kibao kama Amita Bachan, Britney spears, Leornado dicaprio na wengine wengi. Ila Diamond aliwakaukia na kusema tu THANX bila kufafanua ni wax figure....Is funny.
 
JF kiboko..mimi nilidhani kweli kijana alikuwa na Britney..duh..aise hii dunia iogope ..ukijifanya mjanja people will cut you down to size..bila huruma ati...
 
Waungwana inatisha sasa, mpaka chooni hii kweli kubwa kuliko!!! mamaaaaaa!!!:kev::kev::kev::disapointed:
 
Mambo ya technology hayo, wataalam wanaweza kuunganisha tu picha, wala si ngumu hilo!!!
 
HAHAHA..dogo kwa kutaka maujikoo chekii sasaa wadadisi wa mambo wanavyo muumbua,kwani ukiwa mkweliii utakufaaa
 
Back
Top Bottom