MWL RAMADHANI ATHUMANI
Member
- Jun 8, 2024
- 85
- 105
Wanawake huwa wanaletwa na Mungu maishani mkuu,bila kujali ubinafsi wao!Yah man kwa Sasa sina wazo hata chembe la kutafuta mwanamke mwingine wa kuishi nae! Sitaki kujaza mambo mengine kichwani nashukuru watoto ni wakubwa wanaelewa ninayoyapitia hivyo na wao wamejivika uhalisia wanajua tunayopitia!
Mimi nachopenda niwaone madogo wanakua vizuri kama watoto wengine na Mimi pia niwe na nguvu na ufahamu wa kuwashika mikono
Nilivyosoma cDawa ya kwanza ni ku socialize kaka. Pamoja na maumivu yoooote maisha lazima yaendelee! Naomba nikusaidie kwa ufupi sana, AMKA PANGUSA NGUO SONGA MBELE. Najua ni ngumu ila amini unaweza!
Nimesoma yote uliyoandika nikatabasam tu ........
Nimepitia yote hayo mule mule tena kwa ugumu kuliko wako mkuu maana my wife wangu alifariki wakati anajifungua katoto kangu ka pili so aliniachia kichanga wa wiki! Na baada ya miezi 4 nikapoteza kazi .......na baada ya miezi 8 tu nikapiga mzinga wa maana haswa mikono mbende mbende wakati nauguza majanga ya ajali msenge mmoja kanifungulia bonge la kesi la uwongo nikasota sana, sasa fikiria huna kazi wewe ndio baba wewe ndio mama alafu bonge la kesi na mikono yote ime palalaizi una mabandeji na unawajua polisi wa bongo wasivyo bina-adamu
Hapo sijakwambia baada tu ya mazishi nikaingiliwa na majambazi wakabeba kila kitu hadi vyeti vya shule tangu vya chekechea hadi University mbwa wale
Ila amini nakwambia sasa hivi nimesimama balaa nguzo ya umeme inasubiri. Ni uchungu tu wa kumkumbuka kipenzi changu
Asee ndugu acha kabisa haya mambo unaweza ukamuambia mtu mwingine akapona ni riwaya tu,unakaa unajiuliza wakati mwingine wazazi wako kwanini walikuzaa unahisi umejiuliza swali la kijingaDawa ya kwanza ni ku socialize kaka. Pamoja na maumivu yoooote maisha lazima yaendelee! Naomba nikusaidie kwa ufupi sana, AMKA PANGUSA NGUO SONGA MBELE. Najua ni ngumu ila amini unaweza!
Nimesoma yote uliyoandika nikatabasam tu ........
Nimepitia yote hayo mule mule tena kwa ugumu kuliko wako mkuu maana my wife wangu alifariki wakati anajifungua katoto kangu ka pili so aliniachia kichanga wa wiki! Na baada ya miezi 4 nikapoteza kazi .......na baada ya miezi 8 tu nikapiga mzinga wa maana haswa mikono mbende mbende wakati nauguza majanga ya ajali msenge mmoja kanifungulia bonge la kesi la uwongo nikasota sana, sasa fikiria huna kazi wewe ndio baba wewe ndio mama alafu bonge la kesi na mikono yote ime palalaizi una mabandeji na unawajua polisi wa bongo wasivyo bina-adamu
Hapo sijakwambia baada tu ya mazishi nikaingiliwa na majambazi wakabeba kila kitu hadi vyeti vya shule tangu vya chekechea hadi University mbwa wale
Ila amini nakwambia sasa hivi nimesimama balaa nguzo ya umeme inasubiri. Ni uchungu tu wa kumkumbuka kipenzi changu
Alikuja na ndio ameniachia misalaba Wacha niibebe tu Sasa nitafanyaje?Wanawake huwa wanaletwa na Mungu maishani mkuu,bila kujali ubinafsi wao!
Ataletwa TU mkuu utajikuta upon kwenye mfumo!asili ndio itakutafutia!
Kwani huyo aliekutoka ulimtafuta!!?SI alikuja tu maishani!!?
Pole mkuu na hongera kwa kuyavuka yoteDawa ya kwanza ni ku socialize kaka. Pamoja na maumivu yoooote maisha lazima yaendelee! Naomba nikusaidie kwa ufupi sana, AMKA PANGUSA NGUO SONGA MBELE. Najua ni ngumu ila amini unaweza!
Nimesoma yote uliyoandika nikatabasam tu ........
Nimepitia yote hayo mule mule tena kwa ugumu kuliko wako mkuu maana my wife wangu alifariki wakati anajifungua katoto kangu ka pili so aliniachia kichanga wa wiki! Na baada ya miezi 4 nikapoteza kazi .......na baada ya miezi 8 tu nikapiga mzinga wa maana haswa mikono mbende mbende wakati nauguza majanga ya ajali msenge mmoja kanifungulia bonge la kesi la uwongo nikasota sana, sasa fikiria huna kazi wewe ndio baba wewe ndio mama alafu bonge la kesi na mikono yote ime palalaizi una mabandeji na unawajua polisi wa bongo wasivyo bina-adamu
Hapo sijakwambia baada tu ya mazishi nikaingiliwa na majambazi wakabeba kila kitu hadi vyeti vya shule tangu vya chekechea hadi University mbwa wale
Ila amini nakwambia sasa hivi nimesimama balaa nguzo ya umeme inasubiri. Ni uchungu tu wa kumkumbuka kipenzi changu
pole sana mkuu... .. heri yako uliwahi kusema na moyo wako mapemaaa... .. imesaidia.. lakini kwa wengine .. ..kuna mateso ambayo kwa ambaye hayajamfika hawe pata picha!Dawa ya kwanza ni ku socialize kaka. Pamoja na maumivu yoooote maisha lazima yaendelee! Naomba nikusaidie kwa ufupi sana, AMKA PANGUSA NGUO SONGA MBELE. Najua ni ngumu ila amini unaweza!
Nimesoma yote uliyoandika nikatabasam tu ........
Nimepitia yote hayo mule mule tena kwa ugumu kuliko wako mkuu maana my wife wangu alifariki wakati anajifungua katoto kangu ka pili so aliniachia kichanga wa wiki! Na baada ya miezi 4 nikapoteza kazi .......na baada ya miezi 8 tu nikapiga mzinga wa maana haswa mikono mbende mbende wakati nauguza majanga ya ajali msenge mmoja kanifungulia bonge la kesi la uwongo nikasota sana, sasa fikiria huna kazi wewe ndio baba wewe ndio mama alafu bonge la kesi na mikono yote ime palalaizi una mabandeji na unawajua polisi wa bongo wasivyo bina-adamu
Hapo sijakwambia baada tu ya mazishi nikaingiliwa na majambazi wakabeba kila kitu hadi vyeti vya shule tangu vya chekechea hadi University mbwa wale
Ila amini nakwambia sasa hivi nimesimama balaa nguzo ya umeme inasubiri. Ni uchungu tu wa kumkumbuka kipenzi changu