Kuna ukweli kuhusu hili wakuu?

Kuna ukweli kuhusu hili wakuu?

Yah man kwa Sasa sina wazo hata chembe la kutafuta mwanamke mwingine wa kuishi nae! Sitaki kujaza mambo mengine kichwani nashukuru watoto ni wakubwa wanaelewa ninayoyapitia hivyo na wao wamejivika uhalisia wanajua tunayopitia!
Mimi nachopenda niwaone madogo wanakua vizuri kama watoto wengine na Mimi pia niwe na nguvu na ufahamu wa kuwashika mikono
Wanawake huwa wanaletwa na Mungu maishani mkuu,bila kujali ubinafsi wao!

Ataletwa TU mkuu utajikuta upon kwenye mfumo!asili ndio itakutafutia!

Kwani huyo aliekutoka ulimtafuta!!?SI alikuja tu maishani!!?
 
Dawa ya kwanza ni ku socialize kaka. Pamoja na maumivu yoooote maisha lazima yaendelee! Naomba nikusaidie kwa ufupi sana, AMKA PANGUSA NGUO SONGA MBELE. Najua ni ngumu ila amini unaweza!

Nimesoma yote uliyoandika nikatabasam tu ........

Nimepitia yote hayo mule mule tena kwa ugumu kuliko wako mkuu maana my wife wangu alifariki wakati anajifungua katoto kangu ka pili so aliniachia kichanga wa wiki! Na baada ya miezi 4 nikapoteza kazi .......na baada ya miezi 8 tu nikapiga mzinga wa maana haswa mikono mbende mbende wakati nauguza majanga ya ajali msenge mmoja kanifungulia bonge la kesi la uwongo nikasota sana, sasa fikiria huna kazi wewe ndio baba wewe ndio mama alafu bonge la kesi na mikono yote ime palalaizi una mabandeji na unawajua polisi wa bongo wasivyo bina-adamu

Hapo sijakwambia baada tu ya mazishi nikaingiliwa na majambazi wakabeba kila kitu hadi vyeti vya shule tangu vya chekechea hadi University mbwa wale

Ila amini nakwambia sasa hivi nimesimama balaa nguzo ya umeme inasubiri. Ni uchungu tu wa kumkumbuka kipenzi changu
Nilivyosoma c
Dawa ya kwanza ni ku socialize kaka. Pamoja na maumivu yoooote maisha lazima yaendelee! Naomba nikusaidie kwa ufupi sana, AMKA PANGUSA NGUO SONGA MBELE. Najua ni ngumu ila amini unaweza!

Nimesoma yote uliyoandika nikatabasam tu ........

Nimepitia yote hayo mule mule tena kwa ugumu kuliko wako mkuu maana my wife wangu alifariki wakati anajifungua katoto kangu ka pili so aliniachia kichanga wa wiki! Na baada ya miezi 4 nikapoteza kazi .......na baada ya miezi 8 tu nikapiga mzinga wa maana haswa mikono mbende mbende wakati nauguza majanga ya ajali msenge mmoja kanifungulia bonge la kesi la uwongo nikasota sana, sasa fikiria huna kazi wewe ndio baba wewe ndio mama alafu bonge la kesi na mikono yote ime palalaizi una mabandeji na unawajua polisi wa bongo wasivyo bina-adamu

Hapo sijakwambia baada tu ya mazishi nikaingiliwa na majambazi wakabeba kila kitu hadi vyeti vya shule tangu vya chekechea hadi University mbwa wale

Ila amini nakwambia sasa hivi nimesimama balaa nguzo ya umeme inasubiri. Ni uchungu tu wa kumkumbuka kipenzi changu
Asee ndugu acha kabisa haya mambo unaweza ukamuambia mtu mwingine akapona ni riwaya tu,unakaa unajiuliza wakati mwingine wazazi wako kwanini walikuzaa unahisi umejiuliza swali la kijinga
 
Dawa ya kwanza ni ku socialize kaka. Pamoja na maumivu yoooote maisha lazima yaendelee! Naomba nikusaidie kwa ufupi sana, AMKA PANGUSA NGUO SONGA MBELE. Najua ni ngumu ila amini unaweza!

Nimesoma yote uliyoandika nikatabasam tu ........

Nimepitia yote hayo mule mule tena kwa ugumu kuliko wako mkuu maana my wife wangu alifariki wakati anajifungua katoto kangu ka pili so aliniachia kichanga wa wiki! Na baada ya miezi 4 nikapoteza kazi .......na baada ya miezi 8 tu nikapiga mzinga wa maana haswa mikono mbende mbende wakati nauguza majanga ya ajali msenge mmoja kanifungulia bonge la kesi la uwongo nikasota sana, sasa fikiria huna kazi wewe ndio baba wewe ndio mama alafu bonge la kesi na mikono yote ime palalaizi una mabandeji na unawajua polisi wa bongo wasivyo bina-adamu

Hapo sijakwambia baada tu ya mazishi nikaingiliwa na majambazi wakabeba kila kitu hadi vyeti vya shule tangu vya chekechea hadi University mbwa wale

Ila amini nakwambia sasa hivi nimesimama balaa nguzo ya umeme inasubiri. Ni uchungu tu wa kumkumbuka kipenzi changu
Pole mkuu na hongera kwa kuyavuka yote
 
Mkuu kwa traditional men kulia sio sehemu ya maisha maana tunakuzwa kuamini hivyo kwa sababu mwanaume ni nguzo ya familia, kwa hiyo familia ikipitia magumu na ukaanza kulia lia au kuwa emotional. Lazma familia itakosa direction au kupotea

Huo sio udhaifu ila ni uimara, lakini upande wa pili wa shilingi ni kweli wanaume wengi tunaupata ukichaa au kufariki mapema kwa sababu hatujali mrundikano wa maumivu yetu na hatulii au hata kutumia njia nyingine ya kupata ahueni. Tunapuuzia tu

Binafsi yangu chozi sio case 😁😁, ila siwezi kulia mbele za watu na hata kama nimelia masaa usiku, nikiamka huwa naendelea na maisha maana kiukweli hakuna anaejali maumivu yako. Yakizidi, nina marafiki wachache sana wa kuwashirikisha ili nipate relief au solution.

Hivyo kila mtu ana namna yake
 
Dawa ya kwanza ni ku socialize kaka. Pamoja na maumivu yoooote maisha lazima yaendelee! Naomba nikusaidie kwa ufupi sana, AMKA PANGUSA NGUO SONGA MBELE. Najua ni ngumu ila amini unaweza!

Nimesoma yote uliyoandika nikatabasam tu ........

Nimepitia yote hayo mule mule tena kwa ugumu kuliko wako mkuu maana my wife wangu alifariki wakati anajifungua katoto kangu ka pili so aliniachia kichanga wa wiki! Na baada ya miezi 4 nikapoteza kazi .......na baada ya miezi 8 tu nikapiga mzinga wa maana haswa mikono mbende mbende wakati nauguza majanga ya ajali msenge mmoja kanifungulia bonge la kesi la uwongo nikasota sana, sasa fikiria huna kazi wewe ndio baba wewe ndio mama alafu bonge la kesi na mikono yote ime palalaizi una mabandeji na unawajua polisi wa bongo wasivyo bina-adamu

Hapo sijakwambia baada tu ya mazishi nikaingiliwa na majambazi wakabeba kila kitu hadi vyeti vya shule tangu vya chekechea hadi University mbwa wale

Ila amini nakwambia sasa hivi nimesimama balaa nguzo ya umeme inasubiri. Ni uchungu tu wa kumkumbuka kipenzi changu
pole sana mkuu... .. heri yako uliwahi kusema na moyo wako mapemaaa... .. imesaidia.. lakini kwa wengine .. ..kuna mateso ambayo kwa ambaye hayajamfika hawe pata picha!
Mungu azidi kukuongoza na wengine walio shidani awafanyie wepesi..
Tunaoishi .motoni tupo wengi , ni vile mtu unaungua kimya kimya.
 
Back
Top Bottom