Kuweni na amani na WazeeBara ya wapi....πππ
Sema mimi ushanipa limit ya kukuhoji mzee bora ninyamaze πππππππ
Umeona sasa πππππWazee tumezoea utani tu, hata miaka ile tunamfurusha Iddi Amini tukikaa kwenye yale Mahandaki ilikuwa tunapiga stori ili kupunguza hofu ya Vita.
Hata Kwa wajukuu zangu ni hivyo tu π€
Sawa sawa mkuu hapo nimekuelewa sana ππππππππππLinapokuja suala la kupiga marufuku tabia flani isijirudie huwa natumia lugha kali kuanzia matamshi hadi body language mkuu
Mzee wa busara sawa sawaKuweni na amani na Wazee
Sisi ni tunu ya Nchi π€
Hiyo usishuhudie kwa macho, hata mimi siipendi hatua hiyoSawa sawa mkuu hapo nimekuelewa sana ππππππππππ
Duuh hapo kwa body language sasa
Aaaah vizuri pia ndio inavotakiwa mambo hatua kwa hatua...Hiyo usishuhudie kwa macho, hata mimi siipendi hatua hiyo
Ndiyo maana wengine hushauri Umri wa Mwanaume kuoa iwe baada ya 30, walau unaweza kuwa umeanza kupata nafuu ya maisha na huyo Mkeo awe umempita zaidi ya miaka 7.Hawa wengi wanaweza kukufanya usitamani kabisa kuoa mana hawana msimamo vijana wengi wameharibiwa maisha na wanawake hao atakubali kuolewa mpaka ajihakikishie upo vizuri kiuchumi bila hivyo utakuchuna zikiisha anapiti hivi
Jamaa litakua na mpunga sana alooπ€π€π€π€ daaah hii ndo imetokea kwa ex wangu...
20-24 Akasema haolewi mimi mpaka nijitafute na nijipate
ila huko alipoenda akawa mke wa pili
Mtutumie mapema kabla hatujaanza kutoza Consultancy Fee, maana tumekuwa Wachache Nchi nzima π€Mzee wa busara sawa sawa
Nasikia jamaa alinipiga overtake ya kibabe...ππππJamaa litakua na mpunga sana aloo
Ukishakuwa na Watoto wengi tegemea kupata Wajukuu wengi pia.Umeona sasa πππππ
Et wajukuu zako daah
Mi ni moja wa kijana ambaye takutumia ipasavyo na kwa yoyote atakae kuletea habari za ajabu takua kifua mbele kumuadabisha ππππππ€π€Mtutumie mapema kabla hatujaanza kutoza Consultancy Fee, maana tumekuwa Wachache Nchi nzima π€
Wajukuu muhimu sana..Ukishakuwa na Watoto wengi tegemea kupata Wajukuu wengi pia.
Si unajua huku Kijijini tumezoea kuzaa Watoto 10 plus π€ͺ
Sijanyimwa vyote mkuu najua;Aaaah vizuri pia ndio inavotakiwa mambo hatua kwa hatua...
Na busara zaidi inahitajika πππ
Hahaha noma sana masta hii tuichukulie kama motivation ya kua mabilionea kabla ya kurudi kwa mola ππNasikia jamaa alinipiga overtake ya kibabe...ππππ
Yaani aliwahi kwenda kuwashikisha ukweni kibunda cha maana..
Ni huko kusini ndani ndani...
Ukiletewa ujinga wewe una fanya ku square sio πππππSijanyimwa vyote mkuu najua;
- ujinga ninao sana.
- na mahali pa kutumia busara ninayo sana na unaweza kusema..huyu sasa ni mtu.
Kila kitu nakitumia mahala sahihi na kwa muda sahihi...ujumla wa maneno haya huitwa hekima
Daaah aiseeee jamaa alioa mke wangu ujue πππππ€π€π€Hahaha noma sana masta hii tuichukulie kama motivation ya kua mabilionea kabla ya kurudi kwa mola ππ
Tafuta Hela ukamuoe mke wa kwanza just for funny tu πππDaaah aiseeee jamaa alioa mke wangu ujue πππππ€π€π€