Kuna ukweli kulingana na hii picha!?

Kuna ukweli kulingana na hii picha!?

Sisi Wazee unatujua hatuna mambo mengi ujue πŸ€—
Nilijua mybe unapingana na mimi πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Nikapata na uwoga kidogo kuwa nimemkosea mzee wangu Grahams ...
Kumbe tupo sawa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€πŸ€πŸ€
Japo wazee hawana mambo mengi ila wewe unayo sasa πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Nilijua mybe unapingana na mimi πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Nikapata na uwoga kidogo kuwa nimemkosea mzee wangu Grahams ...
Kumbe tupo sawa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€πŸ€πŸ€
Japo wazee hawana mambo mengi ila wewe unayo sasa πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Mzee huyu mkali wa mambo kuliko vijanaπŸ˜‚
 
Yaani usiogope mwandiko wangu, nafahamu mwandiko ni mkali lkn mimi mpole sana hata mbu siuiπŸ˜‚
Naona jana ulitaka kunitoa mchezoni daah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikasema mkuu mbona kama ametake issue very very serious aisee
Kumbe sio hivo bana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ now naelewa
Glenn
 
Mzee huyu mkali wa mambo kuliko vijanaπŸ˜‚
Nikisema ni mzee ambaye ujana wake alikua wa hovyo.. anakasirika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Naona jana ulitaka kunitoa mchezoni daah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikasema mkuu mbona kama ametake issue very very serious aisee
Kumbe sio hivo bana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ now naelewa
Glenn
Jana mwenendo wako ulitia shaka.
Bahati mbaya huwa siruhusu kupapaswa taco bro 🀣🀣
 
Mzee huyu mkali wa mambo kuliko vijanaπŸ˜‚
Hapana Mkuu wangu, Mimi ni Mzee wa amani tu

Kule Bara tumezoea Babu kucheza na Wajukuu zake huku akiwatambia Hadithi za kale mara baada ya kutoka shambani.

Ndicho nifanyacho Babu yao πŸ€—
 
Jana mwenendo wako ulitia shaka.
Bahati mbaya huwa siruhusu kupapaswa taco bro 🀣🀣
Daaah hadi nimecheka kwa sauti..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Hapo sasa ndo shida inapoanza
Kwanini unatumia lugha za vijana wa hovyo mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Hapana Mkuu wangu, Mimi ni Mzee wa amani tu

Kule Bara tumezoea Babu kucheza na Wajukuu zake huku akiwatambia Hadithi za kale mara baada ya kutoka shambani.

Ndicho nifanyacho Babu yao πŸ€—
Bara ya wapi....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sema mimi ushanipa limit ya kukuhoji mzee bora ninyamaze πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€” daaah hii ndo imetokea kwa ex wangu...
20-24 Akasema haolewi mimi mpaka nijitafute na nijipate
ila huko alipoenda akawa mke wa pili
Hawa wengi wanaweza kukufanya usitamani kabisa kuoa mana hawana msimamo vijana wengi wameharibiwa maisha na wanawake hao atakubali kuolewa mpaka ajihakikishie upo vizuri kiuchumi bila hivyo utakuchuna zikiisha anapiti hivi
 
Nilijua mybe unapingana na mimi πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Nikapata na uwoga kidogo kuwa nimemkosea mzee wangu Grahams ...
Kumbe tupo sawa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€πŸ€πŸ€
Japo wazee hawana mambo mengi ila wewe unayo sasa πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Wazee tumezoea utani tu, hata miaka ile tunamfurusha Iddi Amini tukikaa kwenye yale Mahandaki ilikuwa tunapiga stori ili kupunguza hofu ya Vita.

Hata Kwa wajukuu zangu ni hivyo tu πŸ€—
 
Daaah hadi nimecheka kwa sauti..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Hapo sasa ndo shida inapoanza
Kwanini unatumia lugha za vijana wa hovyo mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Linapokuja suala la kupiga marufuku tabia flani isijirudie huwa natumia lugha kali kuanzia matamshi hadi body language mkuu
 
Back
Top Bottom