Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Tuhame huko mkuu wangu.Ukiletewa ujinga wewe una fanya ku square sio πππππ
πππ
Soon nitapita anga lako niandalie zabibu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuhame huko mkuu wangu.Ukiletewa ujinga wewe una fanya ku square sio πππππ
Ila nimejifunza kitu..Tafuta Hela ukamuoe mke wa kwanza just for funny tu πππ
Huku zabibu kama zote ila sasa ukame wa huku daah ππππππππππππ is too muchTuhame huko mkuu wangu.
πππ
Soon nitapita anga lako niandalie zabibu mkuu
Good, nimeipenda hiyoIla nimejifunza kitu..
Mo siwezi mfanyia mwanaume mwenzangu ishu kama hiyo aiseee ππππππππππ
Yaaan najua kabisa huyu mwenzangu upande wa mshiko ni empty set alafu nimkazie aiseeee ππππ
Ukame sio neno, mimi nimeishi jangwani kabisa kabisa, so namudu kila hali.Huku zabibu kama zote ila sasa ukame wa huku daah ππππππππππππ is too much
Your warmly welcome
Yaaah ndo inavotakiwa...Good, nimeipenda hiyo
Usimfanyie mtu HILA hata kama hajiweziYaaah ndo inavotakiwa...
π€π€π€π€π€
Yaaan mchana jua la kuchoma + vumbi...Ukame sio neno, mimi nimeishi jangwani kabisa kabisa, so namudu kila hali.
Mwaka huu nimepita pita sana huko
Watu wanabadili mpaka dini ujue..ππImani yangu hairuhusu kuolewa mke wa piliβ¦ sa kwann nichanganye imani π
Siyo wasaliti!View attachment 2804805
Tusiwape Presha Mabinti zetu hadi kufikia hatua wakajikuta wanatumbukia kwenye Mahusiano hatimaye wakajuta.
Tuwatie Moyo kwa hicho Kitabu cha Mtaalamu Ngugi.
Muda sahihi ukifika watapata Waume wa Kuwaoa na kuwasitiri kama Maandiko yasemavyo.
Si heri nizunguke tu humuWatu wanabadili mpaka dini ujue..ππ
Nitapita masaa machache na nitarejea kukaa siku 2Yaaan mchana jua la kuchoma + vumbi...
Safari hii ukipita itabidi unistue ili uzunguke zunguke mkuu
Kuna situation tuu..Si heri nizunguke tu humu
Mara RC
Mara TAG
Mara Pentecoste
Sa kwanini nihame kabisa nikaanza mafundisho upya?
Karibu sana mkuu.... π€π€π€π€Nitapita masaa machache na nitarejea kukaa siku 2
ππWasije kukimbilia na kuangukia kwa vijana wa hovyo.View attachment 2804805
Tusiwape Presha Mabinti zetu hadi kufikia hatua wakajikuta wanatumbukia kwenye Mahusiano hatimaye wakajuta.
Tuwatie Moyo kwa hicho Kitabu cha Mtaalamu Ngugi.
Muda sahihi ukifika watapata Waume wa Kuwaoa na kuwasitiri kama Maandiko yasemavyo.
D nakupataje?Si heri nizunguke tu humu
Mara RC
Mara TAG
Mara Pentecoste
Sa kwanini nihame kabisa nikaanza mafundisho upya?
Pamoja kakaKaribu sana mkuu.... π€π€π€π€
Mwanamke hawezi kukusaliti kama unajua kutimiza majukumu yako ipasavyo.Siyo wasaliti!
Kabisa, Vijana wa hovyo wamekuwa wengi sana miaka hiiππWasije kukimbilia na kuangukia kwa vijana wa hovyo.