Kuna ukweli kuwa mchezaji Khalid Aucho amegoma kuwasiliana na Viongozi wa Klabu yake ya Yanga?

Sio wasumbufu wanajitambua
 
Inawezekana, ukiangalia historia yake timu zote alizopita kacheza muda mfupi either mwaka au mwaka na nusu tu.
 
acha gongo kijana
 
Aucho mkataba miezi 6
Bangala miezi 3
Djuma miezi 5
Diarra miezi 4

Ndiyo wahuni wanavyosainisha mikataba ya kitoto. Mazuzu kweli.

Aucho atacheza Simba kuanzia January. Mark my maneno.
Umetoroka Mirembe wewe!
 
Aucho mkataba miezi 6
Bangala miezi 3
Djuma miezi 5
Diarra miezi 4

Ndiyo wahuni wanavyosainisha mikataba ya kitoto. Mazuzu kweli.

Aucho atacheza Simba kuanzia January. Mark my maneno.
Amesema ana mkataba wa miaka miwili huo wa miezi 6 dauda ndio kawadanganya?
Kwanza kalipeni pesa za yule tolu kanuti sijui kashata 😁😁
 
Aucho mkataba miezi 6
Bangala miezi 3
Djuma miezi 5
Diarra miezi 4

Ndiyo wahuni wanavyosainisha mikataba ya kitoto. Mazuzu kweli.

Aucho atacheza Simba kuanzia January. Mark my maneno.
Aliskika tahira moja 😁
 
Aliskika tahira moja 😁
kweli mkuu,

taahira mmoja kutoka utopoloni akikataa hiyo mikataba, wakati hajui chchote. Zuzu shabiki maandazi.

Anakataa,halafu anajitekenya na kucheka mwenyewe.Ila ndivyo mataahira walivyo mkuu wangu.

Have a nice evening!
 
Amesema ana mkataba wa miaka miwili huo wa miezi 6 dauda ndio kawadanganya?
Kwanza kalipeni pesa za yule tolu kanuti sijui kashata 😁😁
Boss Mo atalipa, sisi ni matajiri na kwenye akaunti ya timu tuna zaidi ya 25 bil.
 
Yale yale ya Morrison

Simba wanaionea sana Yanga

[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
Zama hizo zilishaisha, hakuna mchezaji anaweza kurubuniwa na vipesa vya Mo ukwaju, GSM kwa sasa hawadhamini Yanga tu bali ligi nzima.
Naamini hata Morrison roho inamuuma sana kwa sasa, anatamani arudi ila haiwezekani.
 
Giesiemu anadhamini ligi nzima kwa 2.1b huku Vunjabei akilamba tenda ya Jersey hapo mikiani kwa 2b dah!!
Zama hizo zilishaisha, hakuna mchezaji anaweza kurubuniwa na vipesa vya Mo ukwaju, GSM kwa sasa hawadhamini Yanga tu bali ligi nzima.
Naamini hata Morrison roho inamuuma sana kwa sasa, anatamani arudi ila haiwezekani.
 
Unaumwa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…