Kuna ukweli kuwa mchezaji Khalid Aucho amegoma kuwasiliana na Viongozi wa Klabu yake ya Yanga?

Kuna ukweli kuwa mchezaji Khalid Aucho amegoma kuwasiliana na Viongozi wa Klabu yake ya Yanga?

Mi mwenyewe nilitaka kushangaa, Aucho atakuwa mganda wa aina gani asiwe msumbufu. Hakika nawaambia sifa kubwa ya waganda ni usumbufu! Yaani ukiajili mganda jiandae ki saikolojia maana akiishagundua thamani yake kwako, utakoma ubishi! Atasubiri siku Una Jambo nyeti Sana eye ndio analeta madai yake, migomo, mikwara n.k. Binafsi huwa sina Imani yoyote na mganda. Eye haangalii unanufaikaje naye, eye anajali maslahi yake tu. Hivyo basi likisemwa lolote kuhusu mganda yeyote, Mimi sipingi. Waganda ni wasumbufu sio pole pole, ni saaaaana tu!
Sio wasumbufu wanajitambua
 
Mi mwenyewe nilitaka kushangaa, Aucho atakuwa mganda wa aina gani asiwe msumbufu. Hakika nawaambia sifa kubwa ya waganda ni usumbufu! Yaani ukiajili mganda jiandae ki saikolojia maana akiishagundua thamani yake kwako, utakoma ubishi! Atasubiri siku Una Jambo nyeti Sana eye ndio analeta madai yake, migomo, mikwara n.k. Binafsi huwa sina Imani yoyote na mganda. Eye haangalii unanufaikaje naye, eye anajali maslahi yake tu. Hivyo basi likisemwa lolote kuhusu mganda yeyote, Mimi sipingi. Waganda ni wasumbufu sio pole pole, ni saaaaana tu!
Inawezekana, ukiangalia historia yake timu zote alizopita kacheza muda mfupi either mwaka au mwaka na nusu tu.
 
Ni mbaya kwa nyie mnaokunywa kupunguza stress za maisha. Lishe duni alafu kutwa ni mwendo wa kipimo tu. Si afya.

Pole mkuu, punguza gongo, utailaumu bure. Ukute na ugoro na gomba unachachulia tena. Lazima useme gongo mbaya.

Najua umeongea kwa uzoefu ulio nao wa matumizi ya gongo.

Tupe uzoefu zaidi wa ubaya wa gongoe.

Karibu mkuu.
acha gongo kijana
 
Aucho mkataba miezi 6
Bangala miezi 3
Djuma miezi 5
Diarra miezi 4

Ndiyo wahuni wanavyosainisha mikataba ya kitoto. Mazuzu kweli.

Aucho atacheza Simba kuanzia January. Mark my maneno.
Amesema ana mkataba wa miaka miwili huo wa miezi 6 dauda ndio kawadanganya?
Kwanza kalipeni pesa za yule tolu kanuti sijui kashata 😁😁
 
Aucho mkataba miezi 6
Bangala miezi 3
Djuma miezi 5
Diarra miezi 4

Ndiyo wahuni wanavyosainisha mikataba ya kitoto. Mazuzu kweli.

Aucho atacheza Simba kuanzia January. Mark my maneno.
Aliskika tahira moja 😁
 
Aliskika tahira moja 😁
kweli mkuu,

taahira mmoja kutoka utopoloni akikataa hiyo mikataba, wakati hajui chchote. Zuzu shabiki maandazi.

Anakataa,halafu anajitekenya na kucheka mwenyewe.Ila ndivyo mataahira walivyo mkuu wangu.

Have a nice evening!
 
Amesema ana mkataba wa miaka miwili huo wa miezi 6 dauda ndio kawadanganya?
Kwanza kalipeni pesa za yule tolu kanuti sijui kashata 😁😁
Boss Mo atalipa, sisi ni matajiri na kwenye akaunti ya timu tuna zaidi ya 25 bil.
 
Yale yale ya Morrison

Simba wanaionea sana Yanga

[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
Zama hizo zilishaisha, hakuna mchezaji anaweza kurubuniwa na vipesa vya Mo ukwaju, GSM kwa sasa hawadhamini Yanga tu bali ligi nzima.
Naamini hata Morrison roho inamuuma sana kwa sasa, anatamani arudi ila haiwezekani.
 
Giesiemu anadhamini ligi nzima kwa 2.1b huku Vunjabei akilamba tenda ya Jersey hapo mikiani kwa 2b dah!!
Zama hizo zilishaisha, hakuna mchezaji anaweza kurubuniwa na vipesa vya Mo ukwaju, GSM kwa sasa hawadhamini Yanga tu bali ligi nzima.
Naamini hata Morrison roho inamuuma sana kwa sasa, anatamani arudi ila haiwezekani.
 
Wadau wenzangu

Hizi ni tetesi zinazosambaa kwa kasi kubwa kama moto wa gesi.

Kwamba "Daktari wa Soka" sasa hapokei simu za Viongozi wake au muda mwingine huwa hapatikani kabisa.

Kwamba eti tabia yake imebadilika pakubwa siku za karibuni.

Kwamba mchezaji huyo raia wa Uganda ana mipango mkakati asiopenda kuwashirikisha waliomuajiri.

Mwenye Taarifa za uhakika atufahamishe.
Unaumwa wewe
 
Back
Top Bottom